nipo hapo honeypie lets rock in our WORLD
mi nataka kumuuliza The Boss, kuna mahali alitaka twende ila tukahairisha. (joke).
Weee kaa mbali na huyo jamaa. He is bad news. Kama unabisha waulize Annina na Kisukari. Ni player huyo. Yaani hafai kabisa:smile-big:
hahaha! Mbona wamchafulia cv hivo? Au hutaki anti yake kisura akumbwe na majanga eeih!
Ndio...staki aje tena hapa kulia kama kibabu kilivyomliza
hahahahahahahahahahahahahaha! Baba kisura baba kisura!
Kheeeee hicho kicheko kulikoni....nani kakutekenya?
mbu wa dengue
Kakutekenya sehemu gani ya mwili?
kwenye nyonyo. Mbu ataka proteins naona
kwenye nyonyo. Mbu ataka proteins naona
na mimi nataka nyonyo..
Halafu kuna vidume vinajuaga mie kijike vinanitupia tu matongozo pm. Ngojeni siku niwale kabhanggg! Ndo mtaisoma namba.
Hata wewe?
Andaa bikini tutaenda tu