Kikao cha wanaume

Kikao cha wanaume

Ni aibu na ni fedheha mwanaume kujivika joho la kike.

Laaana hizo na kufuru
 
Mrembo mashalaah a.k.a Fiter a.k.a Aminata mrembo a.k.a Regina wa ukweli a.k.a Grace alijaaliwa.
 
Wanaume kuweka kikao cha kuwasema wanaume wenzao huo ni ushoga.
 
Hao wafanyao ivyo ni mashoga tu fullstop
 

Attachments

  • 1400342147703.jpg
    1400342147703.jpg
    104.1 KB · Views: 135
Ili apate marafiki wa kike na ajue mawazo yao.

Na apate marafiki wa kiume ambao watamtongoza, nae atajifunza njia nzuri ya kutongoza.
 
Wanaume kuweka kikao cha kuwasema wanaume wenzao huo ni ushoga.
Hakuna aliyemsema mwanaume hapa,suala lililko ni juu ya wanaume kutumia ID za kike wewe unalionaje kama mwanaume?
 
Ukikutana na mmasai mjini taabu kweli. Hata kama kavaa suti lazma ateme mate kinyumbani!

kande zinamaliza gesi baba.
karibu sana miss, Mimi napenda kande za maziwa mtindi..ushawahi?
 
Ukikutana na mmasai mjini taabu kweli. Hata kama kavaa suti lazma ateme mate kinyumbani! Kande zinamaliza gesi baba.

tena usije kusingizia gesi, wakati mkaa umejaa mjini, kwa kande tu mikono haharibiki, lols..
upike kande mama...tule na maziwa mgando!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom