thinky
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,121
- 267
Beibii kuna MTU ka hack account yako amaa??
ngumu sana kipenzi huyu m dada anipi hayo mataptapu
Beibii kuna MTU ka hack account yako amaa??
ushazoea kudesa hadi reg no?
umemwita mwenye nyumba unamasihara walaah tatizo lako huduma hewa tukuelewe vipi shemito
mchukue mchumba wako keshalewa
Kwani.kumbe humu watu huwa wanatongozana????
ngumu sana kipenzi huyu m dada anipi hayo mataptapu
Nditoo watch out...tabala masoea na moranii wangu! Cheza name Mimi usicheze na my hubby thinky, I will tear u apart
Hun come this way plz"!!ntakufa na bp..ndoa bado changa hii,
sawa umepata
hahahahah si ndonmaana nikakuita
Nenda ukamchukue my dia anaonekana kalewa
Nenda ukamchukue my dia anaonekana kalewa
Halafu kuna vidume vinajuaga mie kijike vinanitupia tu matongozo pm. Ngojeni siku niwale kabhanggg! Ndo mtaisoma namba.
sijalewa nalewa sawa binti
Yanii sijui wamemnywesha nini? Au ni dalili ya dengue!
Inawezakuwa mumie
miss neddy, Ni kande za kawaida lakini nikila nachanganya na mtindi(maziwa ya mgando)..
Nina uhakika umri wako haukuruhusu kula kande!!