Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Amezoea vya bureKazi zipo nyingi duniani anaweza kuamua kuwa bwana shamba
Amezoea vya bureKazi zipo nyingi duniani anaweza kuamua kuwa bwana shamba
Amezoea vya bure huyu mwehu bora atolewe kabisa ikiwezakana afungwe kwa matumizi mabaya ya madarakaBaba yake anaming'ombe mingi tu huko Kongwa, atakwenda kuichunga.
Ndo sindano imewaingia leo sio... Na bado.Ndugai hawezi jiuzulu. Bunge ni mhimili unaojitegemea 🙄.Hivi Bunge na Mahakama vipo huru kweli ?Dictator Nyerere kweli alituachia majanga. Na kupata solutions ni ngumu. Mpaka wote waliozaliwa kabla ya uhuru wafe dunia.
Hizo taarifa za Job kujiuzulu nafasi zote za uongozi ndani ya chama, huo utakuwa ni uongo!. Kama ni kujiuzulu ni kujiuzulu uspika tuu ambao ujumbe wa CC, anakuwa ameupoteza automatically, lakini anaendelea na ubunge wake, unless kama CCM watamuweka kikao. CCM hawafanyi mambo kienyeji kama wale wenzetu.zipo taarifa za ndani kuwa tayari Job Ndugai ameshajiuzulu nafasi zake zote ndani ya CCM na bungeni.
Sidhani kama anayo mikakati yoyoteAeleze mikakati ya kuwasaidia wapiga kura jimbo la Kawe ili wajipatie maendeleo endelevu. Aachane na masuala yasiyomuhusu.
Hizi mambo ni michongo kwa kwenda mbeleGwajex kapewa rungu nini!!
amalizie msumari wa mwisho
Kwani Chief hajaitwa dikiteta? Cdm walimsema mapema tu baada ya kuona hana mwelekeo lakini wakamtetea kijinsia. Hukumbuki aliitwa Female Dic?Hivi wakiomuita Magufuli dikteta walikuwa wanamaanisha nn?
Katika hao watanzania mimi nitoe mkuu..Ndugai bado ni Spika bora zaidi kuliko.
pamoja na yote yaliyo tokea bado watanzania wengi wangependa kumuona anaendelea kukalia kiti hicho.
Bado anahitajika sana ktk kipindi hiki.
Kama!?Amezoea vya bure
Mkuu nakuambia kuwa kabwaga nafasi zote na kama huamini subiri uone makovu kama TomasoHizo taarifa za kujiuzulu nafasi zote ni uongo!. Kama ni kujiuzulu ni kujiuzulu uspika tuu, ubunge na ujumbe wa CC unaendelwa hadi kuitishwe kikao cha chama kumjadili. CCM hawafanyi mambo kienyeji kama wale wenzetu.
P
Ndugai bado ni Spika bora zaidi kuliko.
pamoja na yote yaliyo tokea bado watanzania wengi wangependa kumuona anaendelea kukalia kiti hicho.
Bado anahitajika sana ktk kipindi hiki.
Kule CC anaingia kwa cheo cha Spika.Hizo taarifa za kujiuzulu nafasi zote ni uongo!. Kama ni kujiuzulu ni kujiuzulu uspika tuu, ubunge na ujumbe wa CC unaendelwa hadi kuitishwe kikao cha chama kumjadili. CCM hawafanyi mambo kienyeji kama wale wenzetu.
P
Kama ni kweli sasa tutaona bunge lenye mwelekeo. Ila isije kuwa katiba ina sema kiti kina rithiwa kama cha Rais. Mambo yata kuwa yale yale. Halafu niwatakie safari njema covid 19Mkuu nakuambia kuwa kabwaga nafasi zote na kama huamini subiri uone makovu kama Tomaso