Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Haa haa kumbe rushwa sio agenda tena ya makamanda jamaa kapewa ten billion kavuta faaaasta hapo bado hawajafika ikulu haya ndo tunawaita watetezi wa wanyonge aiseee bora nibaki kuwa muumin wa dini sio siasa!!kwaheri mzee wa safari ya rushwa!!
 
Kila rakheli nenda kawaibie na huko CCM hatukutaki
 

Attachments

  • 1437987177366.jpg
    1437987177366.jpg
    47.9 KB · Views: 1,009
Uongo... Ccm hawajamuengua fisadi yyte ata uyu magufuli angeenguliwa sema chadema wamejichanganya asa huruma zaidi kwa dr slaa, who will trust his words again? Nitasupot wagombea wote wa majimbo kwa upande wa chadema lakini si lowasa... May b watoe sababu za maana ...japo bado naisapoti chadema 99%...1% naitoa koz of lowasa..

Mimi binafsi siamini mpaka nione kama Tomaso wa Biblia. Pamoja na tabia ya siasa kutokuwa na adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu, kwa Lowasa imezidi. Tunamsafisha kwa kutumia nn kwa watz?
 
Back
Top Bottom