coockie monster
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 390
- 757
Kauzi kanatembea kama subaru.
hehehe
Kauzi kanatembea kama subaru.
Uhaini, Uhaini, Uhaini. Kwa zaidi ya miaka 7 Dr Slaa na wenzake wametuaminisha kuwa Lowassa ni fisadi na kwamba CHADEMA kinakataa usifadi, leo hii wanatumbia nini? What do CHADEMA stand for? Walioto wapi hadithi za Lowassa na ufisadi?
Hii picha ya kuchongwa.
Naunga mkona kwa sbb tu CCM MONOPOLY IFE KWANI NDIO SULUHISHO MUNGU UBARIKI TANZANIA
subiri watakwambia, hawawezi kukosa la kusema.Uhaini, Uhaini, Uhaini. Kwa zaidi ya miaka 7 Dr Slaa na wenzake wametuaminisha kuwa Lowassa ni fisadi na kwamba CHADEMA kinakataa usifadi, leo hii wanatumbia nini? What do CHADEMA stand for? Walioto wapi hadithi za Lowassa na ufisadi?
Lowassa: "Siwezi kuhama CCM, ambaye anaona hafai ahame yeye"
Mbowe: "Lowassa ni fisadi na yuko katika list of shame".
Slaa: "Hatupokei makapi ya CCM"
Leo hii they all have same mindset!?
Hahaha...Tanzania nchi yangu nakupenda sana, ila ukombozi wako bado sana!
Kumekucha.