Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Mmmmmmh ngoja nisubiri wachambuzi wa mambo waje wachambue hii kitu
 
Nimependa pozi la Msigwa, utadhani yeye ndo anasemehewa Madhambi na kutubu mbele ya Jembe Lowasa.
 
Nini Kamanda Edward Lowassa; hata aje Shetani Mkuu, Lucifer, as long as the strategy ni kuiondoa CCM, Chadema au chama kingine chochote kimpe support. Say no to CCM by all means.

Kumpokea yeyote hata Lucifer ni kuonyesha chama hakina agenda, hakina manifesto ya kuwashawishi wapiga kura wakichague kiwaongoze. Shame on CHADEMA kama hii ni kweli.
 
Back
Top Bottom