Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kama kweli CHADEMA kwisha kazi. Wamejipeleka kaburini huku wakiona na kutizama. Inatia huruma kwa Watanzania waliokuwa na matumaini kwa chama chao cha CHADEMA. Watakimbilia wapi??? Sitashangaa wakirudi kwa CCM ambao wameonyesha kuanza vita dhidi ya ufisadi kwa kumuengua Lowasa kwenye kugombea urais wa nchi.

ndugu yangu we tulia tu,utakapoona watu wanang'olewa madarakani baada ya kukaa miaka 50 pasipo kufanya mambo stahiki basi ujue ni harakati hizihizi unazozichukia leo,nakuhakikishia...wewe ambae leo umekasirika utakuwa mstari wa mbele kupeperusha bendera ya cdm na ukawa kufurahia ushindi...na furaha hiyo utaipata baada ya nafsi yako kukubali kuwa ukombozi haupatikani kwa kusikiliza mioyo yetu.Muhimu kapange foleni uwe na kadi yako ya mpiga kura na oktoba 25 ukapige kura
 
Lowassa huyu hapana!

Lowassa.jpg

lowassa1.jpg
 
Mlisema Lowassa ni mtu mwenye maamuzi magumu,haya kachukua maamuzi magumu ngoja tumsubirie.
 
Tusubiri hoja nzito kwa vichwa vyetu vya Chadema!!
 
Kama kweli CHADEMA kwisha kazi. Wamejipeleka kaburini huku wakiona na kutizama. Inatia huruma kwa Watanzania waliokuwa na matumaini kwa chama chao cha CHADEMA. Watakimbilia wapi??? Sitashangaa wakirudi kwa CCM ambao wameonyesha kuanza vita dhidi ya ufisadi kwa kumuengua Lowasa kwenye kugombea urais wa nchi.
Uongo... Ccm hawajamuengua fisadi yyte ata uyu magufuli angeenguliwa sema chadema wamejichanganya asa huruma zaidi kwa dr slaa, who will trust his words again? Nitasupot wagombea wote wa majimbo kwa upande wa chadema lakini si lowasa... May b watoe sababu za maana ...japo bado naisapoti chadema 99%...1% naitoa koz of lowasa..
 
Kama picha zinavyojieleza ni EL na wajumbe wengine katika mkutano
 

Attachments

  • 1437986213491.jpg
    1437986213491.jpg
    54.6 KB · Views: 2,973
  • 1437986227872.jpg
    1437986227872.jpg
    48.1 KB · Views: 2,631
Lowassa ni kama vile 'the new boss in town'
wenzie na magwanda ..yeye na suti yake
 
Ni kweli kinachotakiwa ni kuwa na beuracrat imara kama kenya ! Naomea iwe kweli! Kuna haja ya management ya politics tz kubadilika la sivyo tutakwamamilelel! Poor magufuli
ktk siasa duniani kote hakuna lisilowezekana kuanzia usa,senegal,zambia,madagascar,kenya,malawi...
 
Back
Top Bottom