Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Wakati mwingine Chadema muwe mnakubali ukweli badala ya kuendelea kuficha vitu ambavyo viko wazi kabisa. Picha hizi zimetengenezwa vipi haya onyesheni picha halisi halafu watu watatambua kilichobadilishwa. Uongo ni kazi kubwa kuutetea, ikiwa mnadai picha hizi ni za uongo wekeni za kweli basi...
 
Photoshop

Amini tu ndugu yangu hiyo ndiyo yenyewe bila chenga......"Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu"

Nimeipenda signature yako......umekisoma kile kitabu hakika.....Mimi nasema for this movement "WE ARE BLESSED AND HIGHLY FAVOURED".
 
attachment.php

Can't wait kumuona Lowassa kavaa Gwanda. Ila body language inaonyesha hali ni tense
 
Hadi mbowe na lowassa wenyewe wakitamka hadharani ndio nitaamini haya mambo.
 
Kama hivi ndivyo, sijui kama tutafika, najiuliza tu hivi ikulu kuna nini

Ikulu ilishakuwa free market zone miaka mingi sana. Dili zote za kijanja zinaanzia hapo.
 
Hamna hata tuaudio mkatupia hapa wakuu tumechoka na picha tukasikia.
 
Kwa nn mnatumia picha za kutengeneza? Kama mmemkaribisha kakubali kulikoni nguvu kubwa?
 
haahaa mbowe anasema zimetengenezwa ya kweli hayo? haahaa nimeamini siasa ni mchezo mchafu.
 
Kama ni kweli, hicho kitakuwa ni kichekesho kikubwa. Kweli mtu Ana bett kiasi hiki?
Hawezi kuwa rais, hata hao waliompokea wanajua hilo, issue ni Je ataishi vp baada ya kuangukia pua.
 
Wape angalizo lowassa asile kitu hapo else wasevu wanachadema wenyewe mamboya kupeanasumu za mda mrefu sio
 
Wakati akihojiwa na Mtangazaji wa Azam TV, Haji Bwegege kwenye ofisi za NCCR-Mageuzi, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesikika akisema picha zilizoenea kwenye mitandao ambazo zinawaonyesha viongozi wa CHADEMA na Edward Lowassa siyo halisi na zimetengenezwa (photoshop)

Haya ndiyo mahojiano kati yake na mtangazaji wa Azam TV,



Hizi ndizo picha zinazodaiwa kugushiwa(photoshop)

UKAWA.jpg


UKAWAII.jpg


attachment.php


attachment.php

ANGALIZO:
Kwa kuziangalia tu hizi picha huwezi hata kutumia utaalam kufahamu kama niza kweli.

Kwa nini wanasiasa wetu wanakuwa siyo wakweli?

Our politicians lie through their teeth!

Labda tujiulize maswali machache,

a) Nani alizipiga hizi picha?

b) Kwa nini alizipiga na kuzivujicha bila ruhusa ya wahusika?

c) Kwa nini Mbowe anazikana?

d) Nini kilichoko nyuma ya pazia?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom