Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Mbona wengine wameinama, ni nani huyo aliyeinama?

Waafrika ndivyo tulivyo. Angekuwa prof Kitila hapo ndo kainama vile na anampokea ACT. Duuu matusi yangetoka hapo, prof njaa nk.
 
Picha kutoka photoshop, hebu cheki jamaa aliyekaa karibu na lowassa alivyopigwa pasi.

Muda huo wa kubisha uliishapita, natambua hizi picha zilitoka hadharani kabla ya muda uliopangwa, lakini ni ngumu kwa wajumbe wote kuwa wasiri.Hizi picha ni halisi.

attachment.php

attachment.php


Pamoja na yote, nampongeza Dr Slaa kukubali kuachia Urais bila shida, sio watu wengi wanaweza hili.
 
Kama kweli CHADEMA kwisha kazi. Wamejipeleka kaburini huku wakiona na kutizama. Inatia huruma kwa Watanzania waliokuwa na matumaini kwa chama chao cha CHADEMA. Watakimbilia wapi??? Sitashangaa wakirudi kwa CCM ambao wameonyesha kuanza vita dhidi ya ufisadi kwa kumuengua Lowasa kwenye kugombea urais wa nchi.

Wasi wasi wangu ni je wale wenyeviti wachama wa mikoa 15 waliomuunga mkono Lowassa hadharani watabaki huko au watamfuata huko aendako
 
werra weraaaaaa....!kumekuchaaaaaaaaaa!wacha moto uwake.
 
Watu wanakuwa very emotional na suala la what is right and what is wrong!? CCM wamekuwa wakishinda time and again bila kujali hayo yote wao huwa wanashinda hata kwa kutumia nguvu ya vyombo vya dola.

Only winning matters whether the right way or wrong way. Nape Nnauye alitamka kwamba CCM itashinda hata kwa goli la mkono na upinzani wametambua kwamba time ya ku-play by the rules and being fair imeisha.

Kilichobaki ni winning at any cost hata ikihusisha kumkubali Lowassa as a winning card. Upinzani wameanza kuelewa namna ya kucheza mchezo wa siasa which is bad news kwa CCM.
 
Lowasa na CHADEMA mhhh
Siasa za bongo eti wakombozi ha ha ha ha ha
 
Team Lowasa ni feki sana, ama mnaaminishwa ndivyo sivyo.

Zile Kura alizopata Magufuli ktk tatu bora wangempa mmoja wa kina mama wale, harafu ndo Lowasa akahamia pande hizi. Kinyume chake jamaa hana nguvu zozote ndani ya CCM na ataangukia pua tu hata huku. Na atakuwa frustrated maisha yake yote huyu jamaa. Subiri OCT muone kipigo atachopata.
 
Lowassa akihudhuria kikao Kamati kuu CHADEMA

View attachment 271482
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akisalimiana na viongozi na wanachama wa CHADEMA


Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa akiwa Meza Kuu na viogozi wa CHADEMA

Msigwa kajikunyata kama anatongozwa maskini,waliobaki woote body language zao wanaonesha wako na bwana mkubwa. Sasa Kama Lowassa hivi, sasa kama angehamia CDM Mwandosya au Warioba si watngeuma kucha kabisa(they wish though?
 
Lowasa na CHADEMA mhhh
Siasa za bongo eti wakombozi ha ha ha ha ha
Mkombozi wa kweli ni lazima atumie mbinu mbalimbali kuwakomboa watu wake. Kama hii ndio njia ya kuwang'oa wakoloni weusi basi na iwe hivyo. Go UKAWA!
 
Weraaa weraaaaaaaa......kifo cha CCM tayariiiii....Oyooooo....CCM inazikwa tar 25 Oct 2015... ila kesho atakufa rasmi, tutaupitisha mwili wa CCM mikoani kuuaga, kisha tar..25 Oct. 2015 ndio maziko...mtaa wa Lumumba...Dar... saa 2 asubuhi... waambie jamaa, ndugu na marafiki...!!!
 
Mkombozi wa kweli ni lazima atumie mbinu mbalimbali kuwakomboa watu wake. Kama hii ndio njia ya kuwang'oa wakoloni weusi basi na iwe hivyo. Go UKAWA!

Unamung'oa nani kimantiki OCT
Uchaguzi utakuwa kati ya CCM matajiri walio hamia upande wa pili na CCM masikili upande wa MAGUFULI.
Msijidanganye kwa mfano Lowasa akiwa rais(japo naamini haiwezi kua) kwamba CHADEMA itamdhibiti, yeye ndo atawadhibiti na atafanyalo analotaka. Ukumbuke ataapishwa kwa katiba ya JMT na sio ya CHADEMA.

Harafu king'ang'anizi wa namna hii akiwa na madaraka mtasota tu.
 
Unamung'oa nani kimantiki OCT
Uchaguzi utakuwa kati ya CCM matajiri walio hamia upande wa pili na CCM masikili upande wa MAGUFULI.
Msijidanganye kwa mfano Lowasa akiwa rais(japo naamini haiwezi kua) kwamba CHADEMA itamzibiti, yeye ndo atawadhibiti na atafanyalo analotaka. Ukumbuke ataapishwa kwa katiba ya JMT na sio ya CHADEMA.

Harafu king'ang'anizi wa namna hii akiwa na madaraka mtasota tu.

Kwa hiyo unataka kutuambia CCM wakiendelea kukaa madarakani ndio wataacha kudhibiti madaraka na kufanya wanalotaka au?! Mbona unakuwa mnafiki hivyo?!
 
Kwa hiyo unataka kutuambia CCM wakiendelea kukaa madarakani ndio wataacha kudhibiti madaraka na kufanya wanalotaka au?! Mbona unakuwa mnafiki hivyo?!

Bado wataendelea, Lowasa mwenyewe ni CCM mpaka kwenye damu yake. Unashabikia nini mnabadilisha?
Uchaguzi OCT ni kati ya CCM na CCM, yani CCM akademia na CCM original.
 
Kwa upande wangu naona kweli Lowasa ni mtu wa maamuzi magumu.
Ikumbukwe kuwa Lowasa ni waziri mkuu mstaafu wako waheshimiwa wengi ambao huisema CCM hadharani lakini hawajathubutu kutoka humo. wanaosema anaangamia wanakosea sana kwani yeye ana kete tatu: moja ukwasi ya pili watu na ya tau siasa. anaweza kupoteza hii moja ya siasa lakini hizo mbili ataendelea kuwa nazo.
 
Hii picha ni ya kweli au ni ya teknlojia ya computer?

Haya sasa ndio maamuzi magumu.

Adui yetu kwa sasa ni CCM na si Lowassa mengine yote mbele kwa mbele.

Ni burudani tosha yaani raha tupu.


Mpaka hakuna maneno ya Lowasa mwenyewe, si rahisi kuthibitisha ukweli wa picha hii. Sielewi kwani anamuogopa nani mpaka awe mkimya kiasi hicho katika tukio kubwa kama hilo.

Mara nyingi huwa tunaomba picha kuthibitisha maelezo, leo tunaomba maelezo kuthibitisha picha. Na kama amekuwa mkimya hivyo basi hajiamini haza kidogo. Mfa maji hakosi kutapatapa.
 
Lowassa akihudhuria kikao Kamati kuu CHADEMA

View attachment 271482
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akisalimiana na viongozi na wanachama wa CHADEMA

View attachment 271483
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa akiwa Meza Kuu na viogozi wa CHADEMA


Viongozi wa vyama tofauti kukaribishana katika mikutano yao mikuu si dhambi na hufanywa hivyo mara kwa mara. Kwa mfano viongozi wa Chadema, CUF n.k walikaribishwa ktk halmashauri kuu wakati CCM ikimchagua mgombea wao wa Urais.

Kwa upande wangu naye Lowasa kakaribishwa ktk mkutano mkuu wa CHADEMA, ndio maana hakusema neno. Kwa upande mwingine anapenda kuitikisa CCM kwa kuonekana yupo na uongozi CHADEMA. Huyu bado CCM, mnajua kuwa hajarudisha kadi ya CCM. mSIKURUPIKEEE!
 
Back
Top Bottom