Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Lowassa kashaibadilisha Chadema.

1. Kabadilisha ratiba yao ya uchaguzi.

2. Kabadilisha mgombea wao. Dr. Slaa anakatwa kwa sababu ya Lowassa.

3. Kabadilisha bajeti yao ya uchaguzi.

4. Kabadilisha kauli zao kuhusu ufisadi.

5. Kabadilisha ilani yao ya uchaguzi.

Sasa tujiulize, nani anayebadili mwenzie? Chadema itambadili Lowassa au Lowassa anaibadili Chadema?

Lowassa yuko kwenye siasa muda mrefu kuliko umri wa Chadema. Kuamini kuwa Lowassa atabadilika ghafla ni kujidanganya kulikopitiliza.

Mpaka sasa Chadema haijabadili chochote kwa Lowassa, yeye ndio anawabadili.

Chadema badala ya kuleta mabadiliko, yenyewe ndio inabadilishwa...
 
Lowassa kashaibadilisha Chadema.

1. Kabadilisha ratiba yao ya uchaguzi.

2. Kabadilisha mgombea wao. Dr. Slaa anakatwa kwa sababu ya Lowassa.

3. Kabadilisha bajeti yao ya uchaguzi.

4. Kabadilisha kauli zao kuhusu ufisadi.

5. Kabadilisha ilani yao ya uchaguzi.

Sasa tujiulize, nani anayebadili mwenzie? Chadema itambadili Lowassa au Lowassa anaibadili Chadema?

Lowassa yuko kwenye siasa muda mrefu kuliko umri wa Chadema. Kuamini kuwa Lowassa atabadilika ghafla ni kujidanganya kulikopitiliza.

Mpaka sasa Chadema haijabadili chochote kwa Lowassa, yeye ndio anawabadili.

Chadema badala ya kuleta mabadiliko, yenyewe ndio inabadilishwa...

mbona umeumia sana?
 
picha hizo ni,photoshop jamani, ukiangalia vizuri sehemu aliyokaa lowasa na mwenzake kumetenganishwa na mstari na aliyevaa combat anaonekana kuwa yupo nyuma ya rangi. naamini hii picha haina ukweli na hata kama lowasa alikuwa kwenye kikao basi si kwa hizo picha.
 
Lowassa kashaibadilisha Chadema.

1. Kabadilisha ratiba yao ya uchaguzi.

2. Kabadilisha mgombea wao. Dr. Slaa anakatwa kwa sababu ya Lowassa.

3. Kabadilisha bajeti yao ya uchaguzi.

4. Kabadilisha kauli zao kuhusu ufisadi.

5. Kabadilisha ilani yao ya uchaguzi.

Sasa tujiulize, nani anayebadili mwenzie? Chadema itambadili Lowassa au Lowassa anaibadili Chadema?

Lowassa yuko kwenye siasa muda mrefu kuliko umri wa Chadema. Kuamini kuwa Lowassa atabadilika ghafla ni kujidanganya kulikopitiliza.

Mpaka sasa Chadema haijabadili chochote kwa Lowassa, yeye ndio anawabadili.

Chadema badala ya kuleta mabadiliko, yenyewe ndio inabadilishwa...
 
Wanasiasa wa bongo sio wa kuwaamini kabisa, Chadema wamekanusha kwakuwa hizo picha zilivuja bila ridhaa yao
 
picha hizo ni,photoshop jamani, ukiangalia vizuri sehemu aliyokaa lowasa na mwenzake kumetenganishwa na mstari na aliyevaa combat anaonekana kuwa yupo nyuma ya rangi. naamini hii picha haina ukweli na hata kama lowasa alikuwa kwenye kikao basi si kwa hizo picha.

Angalia movement zao wote ziko sawa,,
 
ZeMarcopolo

Issue sio nani kambadilisha nani, hiyo sio agenda kuu kwa Sasa. Linalotakiwa kwanza ni CCM itoke madarakani.
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndipo utakapojuwa jinsi gani wanasiasa wanachezea akili za wananchi. Wanatufanya mazuzu tunaoweza kulishwa chochote kutoka kwao. Mbowe ametufanya sisi Wananchi ni wajinga sana wa kutokujua nini feki na nini si feki. Kifupi ametudharau.

Mtu mzima ukishajua mtu mwenye akili timamu anakudharau na kukufanya wewe zuzu haupigi naye kelele, muache aamini kuwa uongo wake umeaminiwa unakuja kumuonyesha siku ya siku kuwa wewe si wa kudharauliwa kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom