Mziki sasa Umenoga. Karibu Mzee Wetu Lowassa, Karibu tusaidiane Kuikomboa Nchi, Mfumo Uliotamalaki tuubomoe na Kuunda Taifa la Watu wote.
Watanzania Wanakuhitaji Kwa sasa na Ni Muda Muafaka wa Kuonyesha kwamba Hata Rais Anaweza Kutoka Potepote including Kaskazini.Tupo Pamoja Hadi Ushindi.
Wewe Ndiye Mwl. Nyerere alitabiri ya Kwamba Ushindani wa kweli Utatoka CCM; Njia ya Kwenda Ikulu ni Nyeupe na Matumaini tuliyonayo ni Makubwa.
SaSa CCM Watulie Upepo ndo Umeshavuma na Nyeti za Kuku Soon Zitakuwa Wazi (Mh. Lembeli).