Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
Lowassa akihudhuria kikao Kamati kuu CHADEMA
View attachment 271482
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akisalimiana na viongozi na wanachama wa CHADEMA
View attachment 271483
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa akiwa Meza Kuu na viogozi wa CHADEMA
DU! HATA NAMIE NIMESHANGAA, jamaa ndo kamka usingizini anaandika vitu wala havieleweki.Inaonekana mwenzetu bado uko 2014 .............. wake up Dude...This is 2015!!
Tujipe pole maana hakuna atakaye tuelewa....Muda ni dawa ngoja tusubiri.Nimesikia Serikali imepeleka kesi ya Richmond mahakani.Ngoja tusubiri...
Usiwe na hofu mdau UKAWA ni taasisi haiongozwi na mtu mmoja na sera zao ni nzuri hata awepo mtu mchafu vipi atasafisreportsna kuwa mweupe nikuambie kitu ccm ingekuwa ndio ile ya Azimio la Arusha isingetufikisha hapa tulipo sasa lakini kwa Azimio hili la Zanzibar walijitenga na mfumo woote uliokuwa imara na mzuri na kujiingiza kwenye ulafi na ufisadi kwa hiyo msingi na mfumo wowote ukiwa imara hata atakae kuja lazima afuate mfumo uliopo usivunjike moyo mdau aluta kontinyua.
haiwezekani kihvyo,na sio rahisi kihivyo
Uko sahihi mkuu, binafsi siwezi kumpigia kura Lowassa hata malaika walijua hili ..urais umeuzwa? umegeuzwa biashara? raisi ananunua urais wazi wazi bila kificho? it's a very big shame on the planet
Tujipe pole maana hakuna atakaye tuelewa....Muda ni dawa ngoja tusubiri.Nimesikia Serikali imepeleka kesi ya Richmond mahakani.Ngoja tusubiri...
Mkuu adui wa nchi yetu sio Lowasa
Sio membe
Sio Kikwete
Sio Mwigulu
Adui yetu ni Mfumo wa CCM...Hicho tu
Failure ziko ngapi kweye uchumi wetu...Is it about Lowasa au mismanagement ya mfumo wa serikali ya CCM
I believe you are learned enough.......Our goal is to take out CCM.....Baada ya hapo ni effectivenesss ya serikali ya UKAWA kuweka uwajibikaji
Wivu wa kike! Mwaka huu itabidi utage tu!Nawashangaa watu wanadai kwamba eti Edward Lowasa akihamia ukawa eti heshima ya Slaa itashuka! Kwani Dr. Slaa ana heshima gani zaidi ya kukosoa watu na kuvujisha siri za serikali? Tukubaliane na ukweli kwamba Slaa hauziki kwa wananchi amechuja na sijaona kama ana sera za kimapinduzi zaidi ya kusoma orodha za mafisadi ambazo hata yeye hana ushahidi wa kutosha. Na kama atagombea muhula huu hata 10% ya kura hatapata na ukawa kushika nchi ni historia.
Pole dada, ninajua unaumia sana kutokana na haya maamuzi.
Ila jua kwamba hivyo ndivyo siasa(haswa za Kiafrika) zilivyo.
Muda ni hakimu Mzuri kila mmoja wetu apitie kwa umakini andiko hili hapa chini
IMEGUNDULIKA kwamba Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM) ndiye mfadhili mkuu na mpanga mikakati mkuu wa kundi linalomfuata Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ambalo limeanzisha chama kipya cha siasa, Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania).
Kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, makundi ya wanachama, washauri na wapanga mikakati wa Lowassa na Zitto wamekuwa wakikutana katika maeneo kadhaa jijini Dar es Salaam na kupeana mbinu, lengo kuu likiwa ni jinsi ya kumega Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika mapande ili kidhoofike kabla ya uchaguzi mkuu 2015.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari, Lowassa amejiaminisha kwamba ndiye atakayekuwa mgombea urais kupitia CCM. Kazi kubwa anayoona mbele yake ni kuanza mapema kusambaratisha CHADEMA ili kupunguza upinzani wakati wa kampeni utakapofika.
Mkuu nimepitia hii kitu nimebaki kucheka tu teh teh teh siasa hizi!
BAVICHA karibuni uwanjani. Naona mambo yameiva.
Leo Lowassa sio fisaditena!