Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Lowassa ni mwizi. Sina maelezo zaidi, tukutane 2015. Ni lazima UKAWA waangukie pua! Hakuna system itakayoruhusu mtu aliyenunuliwa kuingia ikulu. Angekuwa Lipumba au Slaa au Lissu OK. CDM mpaka sasa wapo chini kabisa, siwapi kura yangu. Nitampatia mbunge wangu wa CHADEMA ila rais ni Dr. John Pombe Magufuli!

Uko sahihi mkuu, binafsi siwezi kumpigia kura Lowassa hata malaika walijua hili ..urais umeuzwa? umegeuzwa biashara? raisi ananunua urais wazi wazi bila kificho? it's a very big shame on the planet
 
  • Thanks
Reactions: ram
nilichokuwa nakisubiri kinakuja Lowasa lazima aingie Ikulu hata kwa Goli la mkono.
 
Suala la katiba ni suala ambalo lipo mikononi mwa wananchi, ambao wanatakiwa kutumia kura yao wakati wa referendum ili kuweza kutoipitisha kama inaonekana ina mapungufu ambayo ni mabaya kwa wananchi, ila haitakiwi kumtegemea mtu mmoja kuweza kuitetea.
 
Sijaona cha kusema nasubiri ni prove kuona wanasiasa wako kwa ajili ya wananchi au wapo kwa ajili ya familia na matumbo yao, maana ni maandamano na fujo tele zinajiri . ila mafisadi na wenye shida ya ufisadi wako shwari wanapiga domo wanapambana mpaka kieleweke
 
Lowassa ni mwizi. Sina maelezo zaidi, tukutane 2015. Ni lazima UKAWA waangukie pua! Hakuna system itakayoruhusu mtu aliyenunuliwa kuingia ikulu. Angekuwa Lipumba au Slaa au Lissu OK. CDM mpaka sasa wapo chini kabisa, siwapi kura yangu. Nitampatia mbunge wangu wa CHADEMA ila rais ni Dr. John Pombe Magufuli!

Hio kura yako haimake a difference...so we dont care
Si mlijidai.mnazuia mafuriko kwa mikono zuieni.sasa
 
Nawashangaa watu wanadai kwamba eti Edward Lowasa akihamia ukawa eti heshima ya Slaa itashuka! Kwani Dr. Slaa ana heshima gani zaidi ya kukosoa watu na kuvujisha siri za serikali? Tukubaliane na ukweli kwamba Slaa hauziki kwa wananchi amechuja na sijaona kama ana sera za kimapinduzi zaidi ya kusoma orodha za mafisadi ambazo hata yeye hana ushahidi wa kutosha. Na kama atagombea muhula huu hata 10% ya kura hatapata na ukawa kushika nchi ni historia.
 
Sijaona cha kusema nasubiri ni prove kuona wanasiasa wako kwa ajili ya wananchi au wapo kwa ajili ya familia na matumbo yao, maana ni maandamano na fujo tele zinajiri . ila mafisadi na wenye shida ya ufisadi wako shwari wanapiga domo wanapambana mpaka kieleweke

CDM mmeuza heshima yenu kisa Ikulu ...ahaaa, ahaaa, ahaaa! Mungu Wangu uliyeniumba! sasa mkuletewa pesa na wazungu nyie si mtaiuza hata Ikulu nyinyi, mnaenda kufanya biashara Ikulu? mnauziana Ikulu yetu ili mkidhi tamaa zenu za mda? tooooba!
 
Chama ambacho agenda yake kuu imekuwa kupambana na ufisadi na kuwaibua mafisadi kimekaa meza moja na mtu kiliyekuwa kikimtuhumu kuwa ni fisadi papa! Paradox.
 
Mkuu inauma sana, tena sana... Hii ni aibu kwa kila mpenda Demokrasia na mchukia ufisadi.

Upinzani wa Tanzania utaficha wapi sura yake.?

Tujipe pole maana hakuna atakaye tuelewa....Muda ni dawa ngoja tusubiri.Nimesikia Serikali imepeleka kesi ya Richmond mahakani.Ngoja tusubiri...
 
Mtu anayesema ameumia kwasababu ya maamuzi ya lowasa namshanga hv aliyefiwa mkewake au mtoto wake kwa sababu ya mgomo wa madktar nani mwenye uchungu? Tuanzie hapo kuhama chama? Kwani akibaki atakuletea ugali?kweli ujinga ni tatizo sugu kumbuka mwovu akitubu husamehewa.
 
Lowassa kujiunga na chadema au ukawa inaweza kuwa sawa, lakini siyo kuwa mgombea wa urais. No, please No!
 
CCM kwa nini mnalia sana kwa lowassa kuhamia CDM?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Pole.Mimi siyo CCM ni CDM mwenye Mawazo tofauti na wewe.Pole...nina uhuru wa kuongea mradi situkani mtu....
 
Lowassa kujiunga na chadema au ukawa inaweza kuwa sawa, lakini siyo kuwa mgombea wa urais. No, please No!

Amini usiamini Lowasa ni asset ya kuiondoa CCM...Anatakiwa agombee

Lowasa ameshafanya calculation ndefu....Ameamua Liwalo na Liwe
 
Saccoss ya wakaskazini inazidi kuongeza mtaji. Billion 10 zimewafanya mmeuza saccoss.

Walau wamejitahidi hata kutushawishi sisi mangosha ulimuona Lembeli alivyopagawishwa na Chadema kahama? Au jinsi Msigwa kwa wanyalukolo anavyowapelekesha magamba? Nyie hamtusumbui adui yetu tunamjua, na tutatumia watoto wake kumuangamiza nyie wasafi rudini CCM imeishasafishika si Lowassa katoka?
 
Back
Top Bottom