Nguno Buchenja
Senior Member
- May 3, 2012
- 149
- 59
Wadau nimefurahi sana kwa maamuzi magumu yaliyochukuliwa na viongozi wa CHADEMA na hatimaye UKAWA itakavyokuwa kwa kukubali ujio mpya wa Wana CCM wakiongozwa na mwamba wa Kaskazini Edward Lowassa.
Furaha hii ni kutokana na namna ambavyo wafuasi wa Lowassa wamekuwa wakifaidi maisha hapa Tanzania, tofauti na CHADEMA na CUF za zamani ambazo wafuasi wake wamekuwa wakiishi kwa kufunga mikanda wakati nchi yetu inarasilimali nyingi sana, uthubutu wa kutumia rasilimali nyingi hizi sasa ni ruksa kwani utajiri ambao umekuwa ukihubirinu na Lowassa sasa umepata mahali halisi pa kuuthibisha, na watu lazima wajengewe hamasi ya kuwa matajiri na siyo kukumbatia umaskini .
Furaha hii ni kutokana na namna ambavyo wafuasi wa Lowassa wamekuwa wakifaidi maisha hapa Tanzania, tofauti na CHADEMA na CUF za zamani ambazo wafuasi wake wamekuwa wakiishi kwa kufunga mikanda wakati nchi yetu inarasilimali nyingi sana, uthubutu wa kutumia rasilimali nyingi hizi sasa ni ruksa kwani utajiri ambao umekuwa ukihubirinu na Lowassa sasa umepata mahali halisi pa kuuthibisha, na watu lazima wajengewe hamasi ya kuwa matajiri na siyo kukumbatia umaskini .