Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kwa hiyo ndo umejua leo kuwa alikatwa toka 1995?
Au ulihama nchi ndo umerudi?
 
Hivi kuna watu bado wanafikra kuwa rais wa tz anaweza kutoka nje ya CCM kwa wakati wa sasa.

Na wamesema kwa gharama yoyote ile lazima CCM wapate ushindi,haijalishi watanzania wangapi watakufa hiyo hawajali....................
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini habari hii japo kwenye siasa kila jambo lawezekana, hata Kikwete kuhamia CUF inawezekana.
 
Kweli nchi inakwenda kutikisika, huku mitaani,maofisini,masokoni, kila kona Ni habari ya mujini mwamba WA siasa za tz Katua ukawa..na hyo Ni rasharasha sasa mafuriko kamili yanakuja kaeni mkao WA Kula nchi inakwenda kusimama na kutikisika

Huku niliko kazi zimesimama kwa muda,watu wanaongelea ujio wa Lowassa! kweli CCM inakwenda kuanguka!
 
Kabisa...... 25.10.2015 kazi kwisha.... Toa wezi Ma CCM futa delete kabisa...
Kwani wewe kwa sasa upo chama gani? Maana umekuwa bendera fuata upepo. Lowasa akigoma CHADEMA na kujiunga ACT unaelekea huko. Njaa mbaya sana
 
Kuna neno ambalo bosi mmoja alimwambia Yesu, sema neno moja tu na mwanangu atapona. Sasa Edo anatakiwa aseme neno moja tu na tutapata amani.
 
Mbona kikwete alikuwepo na bado mkampa irais mwaka 2010. Wote walioko kwenye list of shame ccm iliwatetea na kuwapa uongozi, hiyo leo sio hoja, leta hoja nyingine.

List of shame unaijua wewe, watanzania na wana cc karibu milioni waliompa kura Lowassa hawaijui na hata kama wanaijua wanachotaka ni mabadiliko.

Ccm sasa mavi yanagonga chupi na kurudi, matumbo ya kuhara yamewaanza gafla.
 
wengi wetu tuliichukia ccm sababu ya ufsad Wa akina lowasa,Leo eti lowasa huyuhuyu asaidie kuiondoa ccm,to hell wote waliotusaliti.tutawazomea wote walioshiriki huu uovu.

Hata hivyo ww ni CCM hivyo acha kutufuatilia Kwan tunahitaji mageuzi ya kweli katika siasa ya nchi yetu. Tunaishukuru sana CCM kwa hapa ilipotufikisha bt tunahitaji kusonga mbele zaidi kwa kukaribisha siasa yenye fikra na changamoto mpya kwa ustawi na ustaarabu (civilization) wa taifa
 
LAKI si pesa amebadilika ghafla. Ameamua kufa na mzee.
 
Last edited by a moderator:
Kabisa...... 25.10.2015 kazi kwisha.... Toa wezi Ma CCM futa delete kabisa...

Sijawahi kuona propaganda ya kijinga kama hii! Lijizi namba moja kutoka ccm mmelipokea na kulipa bendera ya urais kwa chadema, halafu unadai uwatoe wezi ccm wakati wametoka wenyewe na kuja chadema!? Hivi sasa chama cha mafisadi ni chadema tu.
 
Hivi ikibainika kwamba hii ni Photoshop..., huyu mleta hizi hadithi inabidi apewe zawadi gani ?
 
Back
Top Bottom