Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kuna kitu gani atasema? Msishangilie ngoma bado mbichi

Ngoma ipi?

Hahahahahah

Unakumbuka Lowasa alivyoimbiwa na Wana CCM wenzake pale dodoma kwamba wana imani naye?

Pia ...RICHMOND anaenda kukabidhiwa muhusika...jakaya Mrisho kikwete...Kila kitu lazima kiwe wazi
 
wafuasi wa catholic+ wakakobe+ wangwajima+ wafuasi wa lowassa mwenyewe+ wale wanaotaka tu CCM iondoke madarakati+ wanachadema na vyama pinzani ohooo
..naiona october kuwatelemko saaana.
 
tafadhali mie spo tofauti na wanaokubaliana na jambo hili, na ninakuambieni kwamba kama kweli basi tutajarie kuyapata mengi pamoja kumjua mwizi halali wa RCHMOND, NOTE CHADEMA ni chama makini mpaka wameamua hivyo basi wanauhakika na bila hata ya chembe kuhusu uadilifu wake. niwambukushe kuhusu kauli aliyowahi kumwambia mwenyekiti wake kikwete wakiwa kwenye mchakato wa kumvua GAMBA alisema " mh. mwenyekiti, nimechafuliwa sana kuhusu RICHMOND. Je ni kitu gani nilifanya ambacho hukukijua? " baada ya hoja hiyo kikwete alikaa kimya na kuondoa agenda hii inaashiria kwamba kikwete ndiye mhusiika mkuu wa RICHMOND.
 
Sote tunakumbuka kuwa kwenye ile list of shame ya slaa ya watu 11 Lowassa alikuwa mmojawapo.

Leo hii Slaa itabidi aanze kwanza kumtoa kwenye ile list na kuwabakiza 10. Kwamba nilikosea kumtaja Lowassa, kwani majina niliyoletea na vijana wangu yalikuwa 10 shetani akaongezea na la Lowassa, ashindwe na alegee kabisa, hahaaaaa!

Ndugu wananchi nawahakikishia Lowassa ni kamanda na mtu msafi kabisa kuliko mnavyofikiria.

Pipoooooooooooooooz!!! Pawaaaaaaaaaaaaaaaa.
Nadhani CDM safari hii watapigwa hata mawe.
 
Chadema haiwezi kujidhalili hizi ni habari za mtandao.
 
tafadhali mie spo tofauti na wanaokubaliana na jambo hili, na ninakuambieni kwamba kama kweli basi tutajarie kuyapata mengi pamoja kumjua mwizi halali wa RCHMOND, NOTE CHADEMA ni chama makini mpaka wameamua hivyo basi wanauhakika na bila hata ya chembe kuhusu uadilifu wake. niwambukushe kuhusu kauli aliyowahi kumwambia mwenyekiti wake kikwete wakiwa kwenye mchakato wa kumvua GAMBA alisema " mh. mwenyekiti, nimechafuliwa sana kuhusu RICHMOND. Je ni kitu gani nilifanya ambacho hukukijua? " baada ya hoja hiyo kikwete alikaa kimya na kuondoa agenda hii inaashiria kwamba kikwete ndiye mhusiika mkuu wa RICHMOND.

cc Lizaboni linajifanya halijui eti
 
Last edited by a moderator:
This perception is totaly WRONG. lengo ni kuiondoa CCM ama kuikomboa Tanzania toka mikono ya WACHAFU, WALAFI, MAFISADI, WAFIA TUMBO???

Labda kama Lowasa anaingia CDM kama mwanachama wa kawaida na siyo kama mgombea uraisi.

Huwezi kuikomboa Tz bila kutokomeza ccm, ni sawasawa na kuua kunguni kwa kidole wakati kwenye kona za kitanda na chaga zake kuna milioni kumi za mayai ya kunguni.
 
Kwani wewe kwa sasa upo chama gani? Maana umekuwa bendera fuata upepo. Lowasa akigoma CHADEMA na kujiunga ACT unaelekea huko. Njaa mbaya sana

mkuu kamanda kajitambua, kapima mwenyewe kaona inafaa kujiunga na makamanda kutafuta uhuru WA pili kutoka kwa mkoloni mweusi manyinyiem
 
Hahaha please aende anakokwenda hatumtaki ACT arudi nyumbani kwake ccm
 
Mkuu, hapana. Hiyo ni bonafide genuine. Soma hapa chini

Namhitaji mmiliki wa hiyo teminolojia (bonafide genuine ) Mh Pasco aje atuthibitishie na sio wewe ukipata habari ya kweli unaongeza chumvi bakuli zima!
 
Well said..... Lowassa ndio Rais wa 2015.....

CCM wajinga sana, walifikiri Lowassa anafanya mchezo kwa hii miaka yote alivyoanza mishe mishe za urais. Kwa taarifa yao mpaka jana usiku Lowassa alikuwa na uwakika wa kura Millioni 7.8. Hao ni ambao wako kwenye data base, ambao wengi wao ni vijana wa 4U Movement....

Mama Salma na Riz one wamekiuwa chama....

CCM wapuuzi sana.. Walifikiri tunavyopiga kelele huki tunamtaka Lowasa walidhani ni utani.. Tuko serious lazima Lowasa adhike dola.. Hawawezi kutuchezea kiasi hiki.. Imetosha
 
Karibu laki si pesa
Faiza Fox
Musa alani
Tuzuie goli la mkono

hahahahahahha

Kampeni zitanoga sana

Kwa ninavyojua Magufuli atafunikwa sana....He is a good guy kwenye chama kisicho na mvuto..Chama kitamuangusha
 
Ya CCM yamekwishinda , Wameshamkata. slaa na Mwembe Yanga na hii video hapa chini ndiyo habari ya mjini, itakuwaje?
[video]https://m.youtube.com/watch?v=SpRfcgqtCjM[/video]
Hiyo mbona lahisi sana, Lowasa ameyaona haya kuwa ni mabaya ndio maana ameamua kuyaacha na kuanza upya kwa kujiunga na makamanda. Upo hapo? hata wewe na njaa zako unakaribishwa kulivunjilia mbali li CCM.
 
Walikutafuna, wakakumeza, wakakubehua na sasa wanakumeza tena.
Mh. Lowasa.
 
CCM wapuuzi sana.. Walifikiri tunavyopiga kelele huki tunamtaka Lowasa walidhani ni utani.. Tuko serious lazima Lowasa adhike dola.. Hawawezi kutuchezea kiasi hiki.. Imetosha

Kuanzia leo jifunze adabu...Ukiwa huku chadema sio lowasa kushika dola bali ni CHADEMA kushika dola
 
Back
Top Bottom