Nyie mtulie tu ccm mwaka huu mshalikoroga mnapata kiwewe sasa
Neno gani tena kamanda tumeishavuta bilioni 10 sasa hivi tuna mpango wa kumtoa kwenye list ya mafisadi.
Ya CCM yamekwishinda , Wameshamkata. slaa na Mwembe Yanga na hii video hapa chini ndiyo habari ya mjini, itakuwaje?Ramli chonganishi hii! Kwani CCM waliposhindwa kuwavua magamba walitoa sababu gani? Kwanini CCM hawakumfikisha mahakamani mhusika kama walivyomfunga Mramba na mwenzake?
Kwa hiyo na yeye atangana kwenye safari ya matumaini?
Nasubiria kusikia CDM watakuja na nondo gani ili kumsafisha EL.
Maana yake sasa ndo washakichafua chama.
Ila kama EL atajiweka uchi hadharani na kuomba msamaha then itakuwa pigo kubwa sana kwa chama chake alichokikacha.
Otherwise CDM wana kazi kubwa sana ya kukemea Ufisadi la sivyo tutaweka conclusion sisi wenyewe wa huku nje kuwa siasa ni Ufisadi na hakuna mwanasiasa aliye msafi kwa sababu mmoja mchafu akiambatana na wengine wachafu then the rest walioambatana na yule mchafu wote wanakuwa wachafu.
PoliTRICKS is very 'kambasamu'
CHADEMA nakiona kifo chenu, kama mmeamua kuuza utu wenu kwa vipande vya pesa?Kweli mkuu anaweza kuweka ushahid akaeleweka.