Kikao cha CCM, UKAWA chavunjika

Kikao cha CCM, UKAWA chavunjika

Katika maisha yangu naamini katika muafaka.kama chama chetu hakitakubaliana mchakato wa katiba mpya ukabaki njia kuu nawahikikishia itatutesa sana uchaguzi ujao 2015! Wapinzani itakuwa agenda yao kutumaliza.take it from me!

Nakubaliana na wazo lako kwani CCM itawaambia wananchi hayo mabilioni waliyateketeza ya nini bila kuleta katiba mpya? CCM fikirieni mara mbili kwani hizo njama zenu zinaweza kuwaangusha kabisa badala ya kuwainua.
Na isitoshe msipoboresha daftari la wapiga kura kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji ndio crisis inayozungumzwa itaanzia hapo!
 
Kwa hiyo Msajili wa vyama vya siasa anataka kuvifuta hivyo vyama kama havitakubali kurudi bungeni? Hapo ndipo atakuwa amekosea kabisa! La sivyo mantiki ya yeye kuwaita viongozi wa vyama ni nini?
 
Nakubaliana na wazo lako kwani CCM itawaambia wananchi hayo mabilioni waliyateketeza ya nini bila kuleta katiba mpya? CCM fikirieni mara mbili kwani hizo njama zenu zinaweza kuwaangusha kabisa badala ya kuwainua.
Na isitoshe msipoboresha daftari la wapiga kura kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji ndio crisis inayozungumzwa itaanzia hapo!

Karibu sana Pembe! Daftari jipya litaanza September mwaka huu kwa mfumo mpya unaoitwa BVR. hilo tumelimaliza.
 
Kama ccm hawataacha kuendekeza sera ya chama chao katika masuala ya kitaifa, hata kama vitafanyika vikao elfu moja ni dhahiri kuwa hakutakuwa na maridhiano ama maelewano.

Maridhiano ama maelewano yatapatikana pale tu kila chama na kila kundi litakapoweka mbele maslahi mapana ya nchi na wananchi na kujizuia kabisa kufikiria maslahi ya chama chao ama kikundi chao.
 
UKAWA imesajiliwa kwa huyo Msajili? Iweje azungumze na chama kisichosajiliwa? Hakitambuliki
 
TANGANYIKA LAZIMA IRUDIIIII kwa sauti ya Kakobe chezea UKAWA wewe!! utaloana!!!

Yeyote, asiyekubali Tanganyika irudi, na katiba mpya kupatikana, huyo bado ni SLAVE! Kakobe aliwashauri, kama Mtumishi wa Mungu, wakagoma; tusubiri tutaona jinsi maccm 2015 yatakavyoumbuka. Nimekukubali!
 
WAcha litote,jahazi ni moja si tumo wote ndani?
Ccm wanachezea amani kwa kidhani eti hali itakuwa shwari kama zamani.Kikwete akimaliza muda wake mbele kiza,M ccm mutachapana wenyewe kwa wenyewe,wala rushwa wakubwa na wachakachuaji.
 
Ccm nia yao ni ovu hawataki kukubali rasimu ya warioba kwa kuwa haina maslahi kwa chama chao wapumbavu wa
kubwa hawa katiba iliyopo inasema wananchi ndio msingi wa mamlaka iweje wao wakatae kile wanachokitaka wananchi?
 
Chguwa jina la kunipa ww
Ikifika uchaguzi hutasema tena tume ya uchaguzi haifai?
Nakulalamika tunataka tume iliyo huru?
Kama leo ww unataka madiliko kwa nn hutaki majadiliano na mwenzako?
Binadamu siku zote usipendi kile ulichosimamiya ndio kiwe kizuri ilihali wengine hawakitaki
Jambo zuti ni maridhiano tu
Imani ndio itakayo tupeleka mbele
Baki na imani ya vyma ww kila siku na chama tu
Hata mimi ninachama lakini mawazo yangu yanaweza yakafikiti na nikapingana na mawazo ya chama changu au viongozi wangu sio
Hiyo ndiokazi ya ubongo wangu niliopewa na mwenyezimungu
Niweze sumbuwa ubongo wangu kwa kufikiri na kuwaza
sio kwamba hawataki majadiliano na wenzao km umesoma vizuri walikutana hotel kujadiliana ila hawajafikia muafaka
 
Naona bora tubaki na katiba hihi ya 1977
Hii katiba mpya itatugawa japo nililuwa napenda tupate katiba mpya

Kwanini UKATE TAMAA wakati bado unaishi? Hii ni dhambi kubwa sawa sawa na ya usaliti! Tuendelee kukomaa ili Rasimu ya Warioba ndiyo ijadiliwe, kama CCm wanaona ni mbaya wasubiri kwenye kura za maoni ndipo wapige kampeni ya kuikataa, siyo kuanza kuipindua kwanza ndipo waijadili-BIG NO!

Na wakipitisha hiyo ya CCm tunajuwa wamesaliti maoni yetu wananchi na tunahaki ya kuwaadhibu sawa na wasaliti wengine.
 
Kama kweli kikao kilivunjika basi ni dalili njema ya kupatikana katiba ya wananchi.Tayari imeonyesha makundi yote hayako tayari kuburuzwa.Kinachohitajika sasa ni kupatikana mediator wa kumaliza misuguano hiyo, tayari safari ya kurejea dodoma kumalizia kazi.Good move Ukawa
 
Kwanini UKATE TAMAA wakati bado unaishi? Hii ni dhambi kubwa sawa sawa na ya usaliti! Tuendelee kukomaa ili Rasimu ya Warioba ndiyo ijadiliwe, kama CCm wanaona ni mbaya wasubiri kwenye kura za maoni ndipo wapige kampeni ya kuikataa, siyo kuanza kuipindua kwanza ndipo waijadili-BIG NO!

Na wakipitisha hiyo ya CCm tunajuwa wamesaliti maoni yetu wananchi na tunahaki ya kuwaadhibu sawa na wasaliti wengine.

PM kasema pia kuwa wa mwisho kufanya maamuzi ni wananchi, so ccm wajadili rasimu maana mwamuzi ni mwanachi mpiga kura.ya nini hooooofu
 
hii ni kwasababu kikao hicho ni sehemu ya bunge la katiba seif hamadi kayasema hayo source:mwananchi
 
Sheriti moja tu na liko wazi, kujadili rasimu iliyosilishwa na Walioba, iliyobeba maoni yetu wananchi, kinyume na hapo hakuna kurudi bungeni, kweli ccm ni mashetani, wanashindwa kuheshimu roho ya nchi.
 
Back
Top Bottom