Kikao cha CCM, UKAWA chavunjika

Kikao cha CCM, UKAWA chavunjika

Chama cha mafisadi ni janga kubwa kwa taifa hili, watatusumbua sana hawa ma escrow mpaka waje watoke madarakani
 
Wewe ni mnafiki mkubwa tu, huna lolote, watu 200 hawawezi kuyumbisha taifa.taifa hili halikuota kama uyoga, litalindwa kwa gharama yoyote madam hila za vibaraka wa.wazungu watanzania tumeshazing'amua

Lakini hata watu mia 300 hawezi kubadilisha maoni ya wananchi.
 
Wewe ni mnafiki mkubwa tu, huna lolote, watu 200 hawawezi kuyumbisha taifa.taifa hili halikuota kama uyoga, litalindwa kwa gharama yoyote madam hila za vibaraka wa.wazungu watanzania tumeshazing'amua

Jaribuni muone, mmezoea vya kunyonga, intarahamwe nyie.
 
Endeleeni kupigwa upofu kama hatuchukui nchi hivi. Refer askofu kakobe na njozi yake kuhusu kifo cha ccm hadi akamwandikia raisi barua. Kuweni wabishi ivo ivo ndo mtaji wa wapinzani
 
Msimamo ni mmoja! Hakuna kurudi hadi watakapokubali kujadili rasimu ya Tume ya Warioba!
 
...kuna njia mbili za haki ya kumaliza tatizo na mkwamo nalo ni ccm kukubali misingi ya rasimu ya pili wa serikali 3 au kurudi kwa wananchi kuamua muundo wa serikali kupitia kura ya maoni basi ,sasa mnaharibu pesa za walipa kodi bure...kwani kukaa seaclif ni bure?.ndugu zangu watz tuact sasa...this is too much!
 
machadema bana, yanang'ang'ania rasimu iwe ndio katiba yenyewe

Unataka nn interahamwe mkubwa wewe!!! Umetumwa na wasura au Nyape??!
Rasimu ndo maoni ya watz wazalendo. Haki ya Mungu nchi hii ikiongozwa tena na interahamwe 2015 nitatoa uhai wangu
 
Jaribuni muone, mmezoea vya kunyonga, intarahamwe nyie.
intarahamwe ni wagogo,wanywa gongo,viroba na wachaga wanaotenga wenzao halafu wewe msukule unadandia treni kwa mbele hata huelewi linakoelekea. xxyyshs nsnsnsn wee
 
Ukawa wanalia nini wao wakae kwao wanaume wakajadili katiba ya watanzania hao ukawa wao waende mitaani wakatembee kama kawaida yao.
 
Chama cha mafisadi ni janga kubwa kwa taifa hili, watatusumbua sana hawa ma escrow mpaka waje watoke madarakani
mtatukana sana wanywa gongo nyie. acheni kumwagia watu tindikali,na kuwalisha sumu
 
Unataka nn interahamwe mkubwa wewe!!! Umetumwa na wasura au Nyape??!
Rasimu ndo maoni ya watz wazalendo. Haki ya Mungu nchi hii ikiongozwa tena na interahamwe 2015 nitatoa uhai wangu

hiki ni kiapo, lazima ukitekeleze.....ccm itaongoza nchi hii karne nyingi zijazo..usipota uhai wako kama ulivyoahidi MUNGU AKUTOE MAANA UMEAHIDI MWENYEWE...AKUTOE NAMUOMBA ILI AHADI YAKO ITIMIE
 
hivi ukawa wanatafuta kitu gani? mbona hoja yao iko wazi haihitaji kukaa meza moja na CCM kutafuta muafaka?
 
Back
Top Bottom