hii ni kwasababu kikao hicho ni sehemu ya bunge la katiba seif hamadi kayasema hayo source:mwananchi
kikao cha ssssssssssssssssm weraaaaweraaaaaa
Mungu ibariki ukawa
Sheriti moja tu na liko wazi, kujadili rasimu iliyosilishwa na Walioba, iliyobeba maoni yetu wananchi, kinyume na hapo hakuna kurudi bungeni, kweli ccm ni mashetani, wanashindwa kuheshimu roho ya nchi.
Hapa ni kama vile una jitanabaisha kuwa wewe sio Intarahamwe ukitoa muongozo kwa Ma Intarahamwe.ccm kwa nini mnawabembeleza hawa wahuni?
Hapa unajitanabaisha kuwa nawe ni Intarahamwewasipofika sisi tutajadili na tutapitisha maazimio
kama ukawa haitambuliki hapa duniani itatambulika kwa Mungu?
wasipofika sisi tutajadili na tutapitisha maazimio
Hapa ni kama vile una jitanabaisha kuwa wewe sio Intarahamwe ukitoa muongozo kwa Ma Intarahamwe.
Hapa unajitanabaisha kuwa nawe ni Intarahamwe
My take.
Wewe ni wa kuhurumiwa na kupuuzwa kwa kuwa wewe mwenyewe hujijui.