ni kweli mkuu, jk amejiharibia sana kwa kuingiza maslai ya chama chake kwenye katiba ya wananchi. UKAWA acheni maccm na makuwadi wao waendeleze uchakachuaji wa maoni ya wananchi na kodi za wananchi huko dodoma!Hakuna katiba hapa..JK amezoea kuleta mzaha sasa safari hii ataona nyota
ni kweli mkuu, Ukawa wakionyesha msimamo katika hili tunaweza kuwaamini mwakani, vinginevyo watajipotezea kura nyingi wakiungana na wachakachuaji!Naunga mkono UKAWA kutorudi Bungeni mpaka pale tu, rasimu ya warioba kama ilivyopendekezwa na wananchi itarudishwa kwenye reli. Kinyume na hapo wasirudi ili Ukawa wajiongezee mtaji zaidi wa uchaguzi wa 2015 maana watakuwa wameonesha hawana tamaa na posho hivyo watatufaa sana kuendesha nchi.
teh teh, mkuu maccm yamekwama! Ukawa wako upande sahihi wa wananchi, katiba ni kwa ajili ya watanzania wote wenye vyama na wasio navyo, eti ccm wanang'ang'ania serikali 2 kisa ni sera ya chama chao, hivi katiba ni ya chama? Watanzania tuamke toka usingizini mara moja!
Sema rasimu iliyobeba Maoni ya baadhi ya Wananchi na siyo Wananchi wote. Kama wewe ulihojiwa mimi sikupata nafasi hiyo.
Hakuna katiba hapa..JK amezoea kuleta mzaha sasa safari hii ataona nyota
unapenda sana kujipa matumaini ya uongo.
Naunga mkono UKAWA kutorudi Bungeni mpaka pale tu, rasimu ya warioba kama ilivyopendekezwa na wananchi itarudishwa kwenye reli. Kinyume na hapo wasirudi ili Ukawa wajiongezee mtaji zaidi wa uchaguzi wa 2015 maana watakuwa wameonesha hawana tamaa na posho hivyo watatufaa sana kuendesha nchi.
mhh,cheche?!!.JK anaona cheche tu zinawaka kama za welding
Nape alisema watapata katiba bila hata ya UKAWA.
mhh,cheche?!!.
Haya bana nisikuvunje moyo.
Ccm wanawabembeleza ukawa kwa vile wametambulishwa kuwa ktb haiwezi patikana bila ukawa kuwepo. Na shida kubwa ni Zanzibar ndo walioshikilia kura ya turufu.
ccm kwa nini mnawabembeleza hawa wahuni?
then bunge linapoteza hela kujadili nini kama rasimu inatakiwa ipite jinsi ilivo?