mkuu weka mfano wa tusi moja hapa...na msirudi tu kwani hata mkiwepo mna faida gani? Kazi ya kuwatukana waasisi wa taifa letu tu
Sheriti moja tu na liko wazi, kujadili rasimu iliyosilishwa na Walioba, iliyobeba maoni yetu wananchi, kinyume na hapo hakuna kurudi bungeni, kweli ccm ni mashetani, wanashindwa kuheshimu roho ya nchi.
hii ni kwasababu kikao hicho ni sehemu ya bunge la katiba seif hamadi kayasema hayo source:mwananchi
Sema rasimu iliyobeba Maoni ya baadhi ya Wananchi na siyo Wananchi wote. Kama wewe ulihojiwa mimi sikupata nafasi hiyo.
Ccm hawana dhamira ya kuwapatia wananchi Katiba mpya,tusitumie nguvu kubwa katika kujibisha nao,Bali tufsnye
Ccm hawana dhamira ya kuwapatia wanachi katiba mpya,tupeleke ujumbe mzito kwa wananchi kuwa maisha magumu tunayoishi Ni kwa sababu ya ccm,elimu nbovu Ni kwa ajili ya ccm,huduma mbovu za hospital Ni kwa ajili ya ccm,kurithishana madaraka watoto WA viongozi Ni kwa ajili ya ccm.
kwani rais alichaguliwa na watanzania wote?Sema rasimu iliyobeba Maoni ya baadhi ya Wananchi na siyo Wananchi wote. Kama wewe ulihojiwa mimi sikupata nafasi hiyo.
na ccm hakina tofauti na makaburu wa afrika kusini kamwe, yaani kwao chama kwanza, wananchi baadae!Sasa naanza kuhisi ukawa hauna tofauti na Boko Haramu, Al Shabab na vingine vingi kama Hamas
mkuu sema msiposhiriki mkutano mkuu maalumu wa ccm wa uchakachuaji maoni ya wananchi mkuu, pale dodoma hakuna bunge la katiba, bali genge la wachakachuaji maoni ya wananchi!msiposhiriki bunge la BMK na uchaguzi inapidi vyama vyenu vifutwe
teh teh, mkuu maccm yamekwama! Ukawa wako upande sahihi wa wananchi, katiba ni kwa ajili ya watanzania wote wenye vyama na wasio navyo, eti ccm wanang'ang'ania serikali 2 kisa ni sera ya chama chao, hivi katiba ni ya chama? Watanzania tuamke toka usingizini mara moja!ukawa komaeni mpaka magamba wajikojolee hovyo hovyo
Sema rasimu iliyobeba Maoni ya baadhi ya Wananchi na siyo Wananchi wote. Kama wewe ulihojiwa mimi sikupata nafasi hiyo.