nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
haa haa, umempa za uso kabisa?Sasa mtu mjinga kama wewe ungehojiwa si ujinga tu ungejaa kwenye katiba, pia ungewachelewesha wajumbe kwani ungeongea wazimu mtupu.
haa haa, umempa za uso kabisa?Sasa mtu mjinga kama wewe ungehojiwa si ujinga tu ungejaa kwenye katiba, pia ungewachelewesha wajumbe kwani ungeongea wazimu mtupu.
Wewe ni mnafiki mkubwa tu, huna lolote, watu 200 hawawezi kuyumbisha taifa.taifa hili halikuota kama uyoga, litalindwa kwa gharama yoyote madam hila za vibaraka wa.wazungu watanzania tumeshazing'amua
ni kweli mkuu, sio haki hata kidogo, hakukuwa na haja ya kuunda tume kama maccm yanataka kutupilia mbali maoni ya wananchi.Huwezi kuwaweka juani wananchi wakatoa maoni yao huku wakiacha shughuli halafu maccm mafisadi machache yakatupilia mbali maoni yao!
haa haa, chezea mafisadi wewe.?Nitaendelea kusema ukweli daima uongo kwangu ni mwiko. Mpaka tunafika kwenye rasimu ya pili Jk alikuwa anaunga mkono serikali 3 sasa mafisadi machache yakaanza kumtisha sasa swali langu kwa JK je huo ulinzi tulio kupa hauna nguvu mafisadi ndo wananguvu ndani ya chama?
Ndugu zangu, ccm hawakujipanga kwenye swala la katiba, kama wanadhani serikali mbili zinakubalika warudishe huku mtaani tupige kura 3 au 2 basi
wajibu wa bunge maalumu la katiba ni kuiboresha rasimu na sio kuanzisha rasimu mpya!then bunge linapoteza hela kujadili nini kama rasimu inatakiwa ipite jinsi ilivo?
ni kweli mkuu, Ukawa wakionyesha msimamo katika hili tunaweza kuwaamini mwakani, vinginevyo watajipotezea kura nyingi wakiungana na wachakachuaji!
Kama imeshindikana watuletee kura ya maoni tupige kuamua hatima ya nchi yetu,tuone kati ya serikali 3 za wananchi na 2 za maccm zipi zitapita!
na wakiipoteza tu kwa tamaa za posho, imekula kwao!Nakubali mia kwa mia. Hii ni chance ya kisiasa kwa ukawa kuitumia vizuri kutupeleka kwenye ukombozi.
na wakiipoteza tu kwa tamaa za posho, imekula kwao!
Nitaendelea kusema ukweli daima uongo kwangu ni mwiko. Mpaka tunafika kwenye rasimu ya pili Jk alikuwa anaunga mkono serikali 3 sasa mafisadi machache yakaanza kumtisha sasa swali langu kwa JK je huo ulinzi tulio kupa hauna nguvu mafisadi ndo wananguvu ndani ya chama?