Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,539
- 9,081
Huchomoki..! Labda ccm itoke madarakanibado mkuu, ila napambana
Huchomoki..! Labda ccm itoke madarakanibado mkuu, ila napambana
Acha kumdanganya wewe!jitahidi uache kuna muda utafika, mikono itaanza kutetemeka
Hapa tatizo ni sisi wanaume kutojua au kutofundishwa saikolojia ya wanawake. Kwa wanawake, kadiri unavyoonyesha kuwa muwazi ndivyo anavyozidi kutokuamini, kadiri unavyoonyesha unampenda peke yake ndivyo anavyozidisha wivu ambao unamfanya muda wote awe na wasiwasi na kuanza ku overthink na hapo utachunguzwa Sana.Mahusiano.
TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.
Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?
Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'
Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.
Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
Dua sana mkuu🙏Duuuh pole sana kaka
Mimi mwenyewe apa zipo shambani kama wiki tatu ivi nitaanza kuchuma
Tuombeane uzima
Pamoja sana boss,nimeamua kuachana na mambo ya kilimo kwa sasa napambana kivingine tu.pole chief Market & climate vagaries
Hahaha Safi sana. Hongera kwa uchambuzi muruaHapa tatizo ni sisi wanaume kutojua au kutofundishwa saikolojia ya wanawake. Kwa wanawake, kadiri unavyoonyesha kuwa muwazi ndivyo anavyozidi kutokuamini, kadiri unavyoonyesha unampenda peke yake ndivyo anavyozidisha wivu ambao unamfanya muda wote awe na wasiwasi na kuanza ku overthink na hapo utachunguzwa Sana.
Unapooa mke chakwanza usimruhusu akacheza na simu yako hata kama mnapendana vipi. Kwasababu anaweza ona kitu ambacho hata siyo kibaya Ila kwasababu ya wivu na kuwa na uhakika kwamba kwake haupindui, basi atakuwashia moto ambao hauna hata msingi (hii ilinitokea na ikawa mwisho wa kugusa simu yangu). Cha pili unapooa mke ili asiwe na wivu Sana unatakiwa kumuonyesha kwamba unampenda Sana Ila anytime akizingua wewe unaweza fanya lolote. Mwanamke akiwa na mentality hii atakuwa busy Sana kujiangalia yeye anakufanyia Nini ili usikwazike kuliko kufikilia wewe unamfanyia Nini au ukitoka unaenda kwa mtu mwingine, hii itapunguza Sana migogoro inayohusiana na uaminifu.
At the end, the more unaonyesha kumpenda mwanamke ndiyo nayeye anavyozidi kuishi kwa mashaka na wewe na overthinking mwisho wa siku unapoteza familia kabisa. Tuishi nao kwa akili sana hawa watu ili familia zidumu
inategemeana mkuuHapa tatizo ni sisi wanaume kutojua au kutofundishwa saikolojia ya wanawake. Kwa wanawake, kadiri unavyoonyesha kuwa muwazi ndivyo anavyozidi kutokuamini, kadiri unavyoonyesha unampenda peke yake ndivyo anavyozidisha wivu ambao unamfanya muda wote awe na wasiwasi na kuanza ku overthink na hapo utachunguzwa Sana.
Unapooa mke chakwanza usimruhusu akacheza na simu yako hata kama mnapendana vipi. Kwasababu anaweza ona kitu ambacho hata siyo kibaya Ila kwasababu ya wivu na kuwa na uhakika kwamba kwake haupindui, basi atakuwashia moto ambao hauna hata msingi (hii ilinitokea na ikawa mwisho wa kugusa simu yangu). Cha pili unapooa mke ili asiwe na wivu Sana unatakiwa kumuonyesha kwamba unampenda Sana Ila anytime akizingua wewe unaweza fanya lolote. Mwanamke akiwa na mentality hii atakuwa busy Sana kujiangalia yeye anakufanyia Nini ili usikwazike kuliko kufikilia wewe unamfanyia Nini au ukitoka unaenda kwa mtu mwingine, hii itapunguza Sana migogoro inayohusiana na uaminifu.
At the end, the more unaonyesha kumpenda mwanamke ndiyo nayeye anavyozidi kuishi kwa mashaka na wewe na overthinking mwisho wa siku unapoteza familia kabisa. Tuishi nao kwa akili sana hawa watu ili familia zidumu
be careful chief , vijana wengi wameharibikiwa kisa nyeto .Acha kumdanganya wewe!
Watu tunapiga nyeto huu mwaka wa 23 lakini sina madhara yoyote nikipata demu napiga show vizur tu na hata mikono yangu haitetemeki kama unavyosema
Your trust will kill you..huu msemo huwa natembea nao sana.kumueleza jamaa yangu mipango ya upigaji dili kampuni flani, jamaa akaenda kutuchoma kwa wivu wake hadi sasa tunahangaika kumaliza msala.
hii imewa cost wengi sana chiefkumueleza jamaa yangu mipango ya upigaji dili kampuni flani, jamaa akaenda kutuchoma kwa wivu wake hadi sasa tunahangaika kumaliza msala.
Ila Jeff alikuwa na mikwara ...Forex
Mwaka 2017 ninamaliza chuo nikakutana na hilo dubwana mkuu wa kuinfluence bwana ontario...kwanza niseme ktk watu waliopata utam wa hii kitu kipnd kile tupo kwenye magroup ya wale wasouth aliewaleta ontario na mm nilikuemo niliweza kupandisha dola 100 mpaka 5000,,,kula bata club madem yaan unaish km vile muvi ukienda kwenye computer ukiclick masaa2 maokoto hayo km yote...mapcha pcha yakaaza mara soko liende tofauti mara tamaa ya kutaka utajir chap mara broker acheze na machart mara news yani balaa kipindi hiko ndugu zangu wananipgia connection za kazi mara hii mara ile wengine full kunifata adi nyumbani kwann sionyeshi ushirikiano mm wala sieleweki najiona nimepata deal kumbe mm ndio deal lenyewe mpk kufika 2019 nimeshakua km teja yani akili inawaza malambogn ferari mansion...huku nikuchoma account na kufund account uko kwenye circle ile ile mpaka nakuja kushtuka nimepoteza mda na pesa kibao na kazi kibao daah yaan acheni kabsa..2020 nikaachana kabsa na fx nikabadili mfumo wa maisha nikaanzsha biashara ndogo ile biashara ikazaa nyngne, nikakuza mtaji now nipo kkoo napambania kombe alhamdulilah bado najitafuta sjajipata vzur ila 7figure kwenye account znasoma.
Hustler migogoro junior
Mie nimeoa lakini napigaga nyeto kisirisiri wife hajui lakini pia namridhisha wife na michepuko yangu yote napigaga show za kibabe bila tatizo kabisabe careful chief , vijana wengi wameharibikiwa kisa nyeto .
bahati mbaya sana masturbation ukiingia ndio umeingia (spiritual custody)
tuoe mazee
kumbe unaibia .Mie nimeoa lakini napigaga nyeto kisirisiri wife hajui lakini pia namridhisha wife na michepuko yangu yote napigaga show za kibabe bila tatizo kabisa
hongera chief wengine bdo tunajitafutaGundu ilinitesa sana, kuanzia miaka ya 2004 nilitembelewa na gundu pro max macho matatu.
Kila nilichokuwa nagusa kinakufa.
Nilichofanya nikaanza kuishi kwa wasi wasi sana na kutokumuamini mtu yeyote
Nilipitia KIPINDI kigumu
Kuanzia miaka ya 2020 naona anga limefunguka na mpaka leo nakula milo mitatu na vimiminika.
Mbona hujatuambia kama ulienda kwa babu mkuu mambo ndio yakaanza kunyoka.Gundu ilinitesa sana, kuanzia miaka ya 2004 nilitembelewa na gundu pro max macho matatu.
Kila nilichokuwa nagusa kinakufa.
Nilichofanya nikaanza kuishi kwa wasi wasi sana na kutokumuamini mtu yeyote
Nilipitia KIPINDI kigumu
Kuanzia miaka ya 2020 naona anga limefunguka na mpaka leo nakula milo mitatu na vimiminika.
nimecheka kama mazuriAtakutafuna hadi wewe usipomuangalia uyo mmachame mimi nimeachana nao mwaka jana ila mala nimehama hadi mkoa maana nilihisi mda wote ataniwekea hata sumu au majambazi ao watu ilibidi wazaliwe hamas au Pakistan huko
Naomba link ya huo uzi bossMkuu upo sahii na kasome uzi wangu wa mungu wa walokole