Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Mahusiano.

TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.

Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?

Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'

Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.

Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
Shisa hapo sio mahusiano..shida ni mkeo ana utoto bado hajakomaa kiakili..angalieni ukomavu kabla hamjaoa.
 
Mahusiano.

TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.

Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?

Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'

Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.

Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
Pole aisee, yaani hampo pamoja hadi sasa???
 
aisee uzinzi,na huruma nyingi kw watu zilinitudisha nyuma,ilikuwa nikipata pesa tu mtu yeyote nikikutana nae analia lia haana hata buku 5 nampatia,,kuhusu uzinzi unakuta mdada anaishi mkoa wa mbali kbs ila unajitoa kumtumia nauli na akija anakaa hata wiki 2 hizo zote unamhudumia aisee,mpk akatoke ushaisha kila idara,😒🖐️
 
MWANAMKE..

Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.

Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.

Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.

Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.

Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Pole mkuu

Nashangaa motivation speakers wameshindwa kuliona hili "wanawake wa kitanzania hawajui kuyaishi mafanikio pale wanapoyapata"

Kuna janga kubwa la wanawake watz kushindwa kuyaishi mafanikio pale wanapoyapata na huu ni ugonjwa wa kisaikolojia inapaswa utibiwe!

Msamehe huyo anaumwa ugonjwa ule wa kuona naweza kuishi bila mwanamme anapofanikiwa wakati alifanikiwa chini ya uangalizi wa mwanamme!!

So sad!!
 
aisee uzinzi,na huruma nyingi kw watu zilinitudisha nyuma,ilikuwa nikipata pesa tu mtu yeyote nikikutana nae analia lia haana hata buku 5 nampatia,,kuhusu uzinzi unakuta mdada anaishi mkoa wa mbali kbs ila unajitoa kumtumia nauli na akija anakaa hata wiki 2 hizo zote unamhudumia aisee,mpk akatoke ushaisha kila idara,
Mda bado haujachelewa.
 
aisee uzinzi,na huruma nyingi kw watu zilinitudisha nyuma,ilikuwa nikipata pesa tu mtu yeyote nikikutana nae analia lia haana hata buku 5 nampatia,,kuhusu uzinzi unakuta mdada anaishi mkoa wa mbali kbs ila unajitoa kumtumia nauli na akija anakaa hata wiki 2 hizo zote unamhudumia aisee,mpk akatoke ushaisha kila idara,😒🖐️
haloo
 
UZEMBE.

Tukiachana na mahusiano na ulevi UZEMBE ni jambo linalotukwamisha sana vijana kufikia ndoto zetu.
Mimi ni mmoja kati ya wanafunzi waliobahatika kujiunga na elimu ya juu miaka kadhaa ilopita. Nliendekeza uzembe kipindi nikiwa chuo kiasi kwamba suala la kupga msuli sikulichukulia kama ndo kilichoniweka pale.

Mwaka wa kwanza nlipga GBA ya 2.1 na ata ckuwaza as long as bado nliexist kwenye system ya chuo na BOOM lilisoma kama kawa.

Mwaka wa pili pia sikubadili jambo. Aloo!!!! Hamuez amini nlikutana na neno DISCONTINUED likipambwa na maneno haya " reason: GPA below an average. "

Kuanzia apo akili yangu ilitibuka. Nikaona n kama nimetupwa na dunia.nilizunguka kila kona ya mtaa nisione cha kushika mazee 😁😁. Kila mtu nlihisi ananitenga na hatak stori na mimi. Familia yangu ndo kabisaaaaa, si baba, si MAMA, si ndugu, wote walinichukia.

Kwa BAHATI nzuri nilikubaliana na hali ile mapema sana. Niliingia rasmi kitaa, nikafakamia kazi yyte inayopita mbele yangu. Kikubwa iwe halali na iwe na chochote. Nlijitafuta katika mazingira matata sana, nlilala nje siku 9 nikiwa sina pa kuutua mwili wangu baada ya Kazi ngumu za mchana zilizoniacha na buku 3 na uhakika wa kula tu😣😥. Nlipitia vingi lkn nikaona sawa tu, sikuwa na chaguo.

Nliparata mkonge sana, nikauza maji barabaran, nikafanya Kazi kiwanja cha SUNOLA Singida, nikatembeza nguo mwanza (mabatini), mpaka pale nlipoamua kuwa MVUVI. Nimepiga kasia sana yani, apo kdg nikapata MWANGA na kuondoa tongotongo mpaka pale nlipoachana na kasia na kuanza biashara ya kuagiza na kusambaza nyavu. Hapa ndo nikaanza na kuongezeka uzito wa mwili baada ya kuwa mkonde kwa muda mref.

Sikuufagilia uvivu na uzembe popote nlipopita an. Hii imenisaidia mpaka sasa nina miradi kadhaa ambayo inanipa kuishi. Angalau sasa nyumbani wananielewa, uhakika wa kufunga ela ndefu kwa siku upo.

VIJANA TUFANYE KAZI KWA BIDII. UVIVU, UZEMBE, MAHUSIANO MABOVU NA ULEVI tusiviabudu.
 
ulichukua hatua gani mpaka ukafanikiwa coz ni jambo gumu sana?
Mkuu kumlilia mungu tu.
Na kujihukumu nafsi kila unapofanya uraibu huo.
Cha kwanza inatakiwa uanze kujionea aibu wewe mwenyewe binafsi.
JESUS NEVER DISAPPOINT ME SINCE DAY ONE.
HASA KATIKA NYAKATI NGUMU KABISA KWA HALI YA KIBINADAMU.
TATIZO LA URAIBU WA NGONO NI KUKOSA HAMU YA KUENDELEA KUISHI.
UNATAMANI KUJIUA SABABU ROHO YA UZINZI NI MAUTI.
I GO THROUGH IT MKUU NA BILA JESUS NISINGEKUA HAPA LEO
 
UZEMBE.

Tukiachana na mahusiano na ulevi UZEMBE ni jambo linalotukwamisha sana vijana kufikia ndoto zetu.
Mimi ni mmoja kati ya wanafunzi waliobahatika kujiunga na elimu ya juu miaka kadhaa ilopita. Nliendekeza uzembe kipindi nikiwa chuo kiasi kwamba suala la kupga msuli sikulichukulia kama ndo kilichoniweka pale.

Mwaka wa kwanza nlipga GBA ya 2.1 na ata ckuwaza as long as bado nliexist kwenye system ya chuo na BOOM lilisoma kama kawa.

Mwaka wa pili pia sikubadili jambo. Aloo!!!! Hamuez amini nlikutana na neno DISCONTINUED likipambwa na maneno haya " reason: GPA below an average. "

Kuanzia apo akili yangu ilitibuka. Nikaona n kama nimetupwa na dunia.nilizunguka lila kona ya mtaa nisione cha kushika mazee 😁😁. Kila mtu nlihisi ananitenga na hatak stori na mimi. Familia yangu ndo kabisaaaaa, si baba, si MAMA, si ndugu, wote walinichukia an.

Kwa BAHATI nzuri nilikubaliana na hali ile mapema sana. Niliingia rasmi kitaa, nikafakamia kazi yyte inayopita mbele yangu. Kikubwa iwe halali na iwe na chochote. Nlijitafuta katika mazingira matata sana, nlilala nje siku 9 nikiwa sina pa kuutua mwili wangu baada ya Kazi ngumu za mchana zilizoniacha na buku 3 na uhakika wa kula tu😣😥. Nlipitia vingi lkn nikaona sawa tu, alaf fresh tu.

Nliparata mkonge sana, nikauza maji barabaran, nikafanya Kazi kiwanja cha SUNOLA Singida, nikatembeza nguo mwanza, mpaka pale nlipoamua kuwa MVUVI. Nimepiga kasia sana yani, apo kdg nikipata MWANGA na kuondoka tongotongo mpaka pale nlipoachana na kasia na kuanza biashara ya kuagiza na kusambaza nyavu. Hapa ndo nikaanza na kuongezeka uzito baada ya kuwa mkonde kwa muda mref.

Sikuufagilia uvivu na uzembe popote nlipopita an. Hii imenisaidia mpaka sasa nina miradi kadhaa ambayo inanipa kuishi. Angalau sasa nyumbani wananielewa, uhakika wa kufunga ela ndefu kwa mwezi upo.

VIJANA TUFANYE KAZI KWA BIDII. UVIVU, UZEMBE, MAHUSIANO MABOVU NA ULEVI tusiviabudu.
Mkuu unasema ukweli kabisa nilipoteza 1.6 kwa wiki tu kwa ajili ya uraibu wa ngono na pombe.
Roho iliniuma sana,,wakati kuna watu hata laki moja hawapati kwa wiki.
Nikaamua kubadilika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom