Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,547
- 22,982
Mafuta kwa mgongo wa chupaHamna hata anarefresh tu huyo .....subiri alete Ngoma hapa uone balaa lake😂
Mafuta kwa mgongo wa chupaHamna hata anarefresh tu huyo .....subiri alete Ngoma hapa uone balaa lake😂
We tulia tutoe hit Moja tupate hela tulete mahari kwenu nikachukue ngongoti wangu 🥰😂Mafuta kwa mgongo wa chupa
Wewe sema kama niiweke hapa.Lisiti ya nini tena we muimba singeli?
Aaaaaiiiii wewe😂😂😂😂😂😂😂 umejuaje ka sjaolewaWe tulia tutoe hit Moja tupate hela tulete mahari kwenu nikachukue ngongoti wangu 🥰😂
🤣🤣🤣 lakini sio kwa WBC sihitaji.Kupoteza ubingwa ni tamaa za ntu tu..
WekaWewe sema kama niiweke hapa.
Ukweli ni muhimu duniani,acha wanaccm waendelee kudanganyana kuwa yao hayaeleweki huku mkiwasaidia kuwa danganya wadanganyika kuwa wiii aaa on zee raiti tirakii
Sawa mkuu.
Sihitaji kujua acha niendelee kushinda mechi zangu 😂Aaaaaiiiii wewe😂😂😂😂😂😂😂 umejuaje ka sjaolewa
Pamoja Pamoja mkuu..Hahaha, kijana unaandika sana. Utafika mbali
😂😂ila karibu sanaSihitaji kujua acha niendelee kushinda mechi zangu 😂
Mbona naimba safi tu, mambo ni taratibu mkuu, wewe subiri.Utatupa tu lawama mashabiki.
Kweliii hatukatai singeli haina mpangilio wa vina ila ndio uimbe hivyo?
asante sana kesho unitafute nikutumie buku 2 ya chakula 😂😂😂ila karibu sana
Kwanini afu 2 lakiniasante sana kesho unitafute nikutumie buku 2 ya chakula 😂
Usiwaze nitakuongezea buku na yakutolea.....we nipende tu utakula sana hela zangu 😂😂😂Kwanini afu 2 lakini
Weka