Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,850
- Thread starter
- #41
Ahaa, ailavyu kivipi sasa.I love you
Ahaa, ailavyu kivipi sasa.I love you
Dogo anajua sana🤣🤣🤣
Wanasema nguvu zote anamaliza kwenye kucheza hivyo hawezi tena kubaki na nguvu ya ziada ya kuimbia.
Upendo wa agapeAhaa, ailavyu kivipi sasa.
Kwamba soko lipo kubwa?Wasiwasi Wako Tu....
Bado Ni Wasiwasi Wako Tu...Kwamba soko lipo kubwa?
Mkuu unatumia Nyukilya kuua mbu.Kwa ujinga unaoingizwa humu,binafsi si sikilizi huo utumbo,bora mjitambue mjue singeli sii kwa ajili ya jamii ya pwani pekee,ila mnatamani iende kimataifa,ile maana ya dunia kijiji ni maana pana sana,wewe tumia maneno na matusi ya kizaramo ,kindengereko ukifikiri wewe pekee ndiye unaeelewa kizaramo au kindengereko,utabakia ukisikiliza kazi yako wewe pekeyako na mkeo ikizidi na wanao.
Ukweli ni muhimu duniani,acha wanaccm waendelee kudanganyana kuwa yao hayaeleweki huku mkiwasaidia kuwa danganya wadanganyika kuwa wiii aaa on zee raiti tirakiiMkuu unatumia Nyukilya kuua mbu.
Dondosha ngoma kaka, mimi na Harmful tupo pamoja na wewe 😀😀Oyaa sikia.. wapi mwanangu dosho12 salimia sana mwanangu Harmful oya we Harmful salimia sana mwanangu Noma, Noma.. Nomadix
Awee shem langu Ms R salimia sana mtotomzuriwa kuitwa waifu material mwambie hii hapa sauti Ya Kijana Masikini a.k.a Mui........mba SINGELI.
Kwa mwenye akili zinazofanya kazi atalazimika kuishi kulingana na wakati,iwapo unajilinganisha na waliobebwa na kile chama kiaminicho ni wa miliki na wanayo hati miliki ya taifa ujue unaenda kukufa na kupotea na kamwe hutaweza kupata boost ya mhimili kama ile ya nyegezi mwanza! Tena na kamwe haita tokea wadanganyika wapo macho tena sana,na bado sana kulala,kwani wameshachezewa sana.Dondosha ngoma kaka, mimi na Harmful tupo pamoja na wewe 😀😀
Hii bangi ni all the way from hell 😂Oyaa sikia.. wapi mwanangu dosho12 salimia sana mwanangu Harmful oya we Harmful salimia sana mwanangu Noma, Noma.. Nomadix
Awee shem langu Ms R salimia sana mtotomzuriwa kuitwa waifu material mwambie hii hapa sauti Ya Kijana Masikini a.k.a Mui........mba SINGELI.
😂😂😂Daah...Tuneto na tudeto hoo!!! Baby Kama Baraka tuombe kwa aliye juu Mimi nakumbembeleza bodi kushekia shekia .🎶🎶🎶
Baiila baila upendo wako unanitosha .
Ewe dogo rema utatuua what a song🎶🎶
Bora iwe hivyo iwapo inasaidia kuliokoa taifa.Hii bangi ni all the way from hell 😂
Hapana aseeee,,inaangamiza taifaBora iwe hivyo iwapo inasaidia kuliokoa taifa.
Sio kwa mara zote muda mwengine inaokoa taifaHapana aseeee,,inaangamiza taifa
We mdanganye tu mwenzioSio kwa mara zote muda mwengine inaokoa taifa
Hamna hata anarefresh tu huyo .....subiri alete Ngoma hapa uone balaa lake😂We mdanganye tu mwenzio