Mambo ya kuzingatia ewe kijana uliehitimu elimu ya chuo kikuu

mwehu ndama

JF-Expert Member
Nov 12, 2019
543
1,839
Leo nimeona niruke na kupepea kimadoido na vijana mlioko/mlihitimu vyuo vikuu na wadau wote wa maendeleo ya vijana katika ardhi ya bibi kizimkazi na haya mambo kadhaa ya muhimu yampasayo kijana kuzingatia ili kuyakabili maisha na changamoto zake za umasikini

1. Futa kabisa wazo la kuajiriwa, ajira kwako ifanye kuwa chaguo la Mwisho la sivyo yatakukuta, lakini usisite kuomba ajira pindi itakapojitokeza, isipokuwa tu kwa kazi yenye laana ya UPOLISI!

2. Passport ni nyenzo muhimu sana kwako kijana, dunia imechanganya tafuta marisho na fulsa nje ya mipaka, hacheni uwoga wakindezi.

3. Driving licence, ni aibu na ujinga kwa kijana wa kisasa kutokuwa na ujuzi wa kuendesha vyombo vya moto, hii ni kitu kidogo ila muhimu sana, ujuzi huu ni nyenzo muhimu katika nchi zilizoendelea, itakufungulia fursa, siku zote fikiria kuanza na kitu kidogo.

4. Tengeneza mahusiano na watu wengi nje ya mfumo wako wa elimu, hao ndio waliobeba njia na maono yakukufanya uyafikie malengo yako, marafiki zako wa shule ni muhimu ila kwa bahati wote mna uono sawa hivyo nivigumu kuvushana, labda kwa fluke

5. Futa na kataa starehe kabisa kijana, maana kuna mstari mdogo sana unaomtenganisha kijana wa kike masikini anaependa starehe na ukahaba /lakini pia mstari ni mwembaba mno unaomtenganisha kijana masikini wa kiume anaependa starehe na kusukumiwa rungu la matopeni, chunga sana matako yako kijana.

6. Hakikisha unakuwa na ujuzi wa ziada mbali na taaluma yako mfano siku hizi mambo ya data science y kama r Programming, python, SQL na vitu vingine vingi, vinavyosomeka hata online tena bure, lakini mbali na hivyo jitahidi unakuwa na uelewa mkubwa wa mambo ya kimtandao sababu dunia ndiko ilikohamia.

7. Acha kufuatilia maisha ya watu wengine, ni kosa la jinai kujilinganisha na mtu mwingine , isipokuwa ongeza utii na heshima kwa magwiji na wakubwa zako kitaani, huenda jicho lao la huruma likakuona

8. Mtegemee Mungu ila usimezwe na mambo ya makanisa na misikiti, kamwe usitegemee miujiza ya matapeli kama kina mwamposa, gwaji boy na wengine wengi, dunia haina huruma, na rehema ya Mungu kamwe haimuangukii mtu mvivu.

9.usiendekeze mapenzi na ndoa, muda haukusubiri, ukiona kichwa chako ni chapanzi na hauwezi kuhimili misukosuko ya mahusiano ni bora ujikite kwenye punyeto, utaokoa muda na pesa zako.
 
Umenena mkuu, na zaidi la kuongezea ni kuwambia ,veta sio Kwa waliofeli kidato na standard kama awali Bali ni mkombozi wa kitaa ,kama wataona kuwa kupata ujuzi wa veta baada ya elimu ya juu ni kujishusha basi wasubiri kitaa kitawashusha zaidi.
 
Umenena mkuu, na zaidi la kuongezea ni kuwambia ,veta sio Kwa waliofeli kidato na standard kama awali Bali ni mkombozi wa kitaa ,kama wataona kuwa kupata ujuzi wa veta baada ya elimu ya juu ni kujishusha basi wasubiri kitaa kitawashusha zaidi.
Na mwenye masikio na asikie mkuu
 
Na wewe utoke kwenye ofisi ya umma ujiajiri uwe kielelezo cha kufuta kabisa wazo la kuajiriwa.

Pia tangu ustaarabu wa Watu juu ya nchi Duniani wale waliogusa sana mioyo ya watu na kuendelea kukumbukwa wa Dini ,siasa na kada mbalimbali walionesha mfano wa wa walioyaongea mfano mdogo Ni Papa John Paul II alipopigwa risasi akasamehe, mwl Nyerere alikuwa mwenye Kuishi maneno yake sasa nyie wa leo mnakuwaje wanafiki?

Hamuoni aibu? Unasema vijana wajiajiri wewe umeajiriwa tena mtegevu kazini na Mwizi.

Angalieni msihukumiwe kwa kipimo cha maneno yenu.

Sent using JamiiForums mobile app
 
  • Mshangao
Reactions: _ID
Sijakataa wasiajiliwe mkuu, nimesema wafute wazo, lakini nikasema wasisite kuomba ajira pale fursa zitakapojitokeza, kusubiri sana ajira kuna lemaza na kutia upofu, Wakati mwingine ni heri ajira ikukute una kitu tayari
Sahihi mkuu
 
Leo nimeona niruke na kupepea kimadoido na vijana mlioko/mlihitimu vyuo vikuu na wadau wote wa maendeleo ya vijana katika ardhi ya bibi kizimkazi na haya mambo kadhaa ya muhimu yampasayo kijana kuzingatia ili kuyakabili maisha na changamoto zake za umasikini

1. Futa kabisa wazo la kuajiriwa, ajira kwako ifanye kuwa chaguo la Mwisho la sivyo yatakukuta, lakini usisite kuomba ajira pindi itakapojitokeza, isipokuwa tu kwa kazi yenye laana ya UPOLISI!

2. Passport ni nyenzo muhimu sana kwako kijana, dunia imechanganya tafuta marisho na fulsa nje ya mipaka, hacheni uwoga wakindezi.

3. Driving licence, ni aibu na ujinga kwa kijana wa kisasa kutokuwa na ujuzi wa kuendesha vyombo vya moto, hii ni kitu kidogo ila muhimu sana, ujuzi huu ni nyenzo muhimu katika nchi zilizoendelea, itakufungulia fursa, siku zote fikiria kuanza na kitu kidogo.

4. Tengeneza mahusiano na watu wengi nje ya mfumo wako wa elimu, hao ndio waliobeba njia na maono yakukufanya uyafikie malengo yako, marafiki zako wa shule ni muhimu ila kwa bahati wote mna uono sawa hivyo nivigumu kuvushana, labda kwa fluke

5. Futa na kataa starehe kabisa kijana, maana kuna mstari mdogo sana unaomtenganisha kijana wa kike masikini anaependa starehe na ukahaba /lakini pia mstari ni mwembaba mno unaomtenganisha kijana masikini wa kiume anaependa starehe na kusukumiwa rungu la matopeni, chunga sana matako yako kijana.

6. Hakikisha unakuwa na ujuzi wa ziada mbali na taaluma yako mfano siku hizi mambo ya data science y kama r Programming, python, SQL na vitu vingine vingi, vinavyosomeka hata online tena bure, lakini mbali na hivyo jitahidi unakuwa na uelewa mkubwa wa mambo ya kimtandao sababu dunia ndiko ilikohamia.

7. Acha kufuatilia maisha ya watu wengine, ni kosa la jinai kujilinganisha na mtu mwingine , isipokuwa ongeza utii na heshima kwa magwiji na wakubwa zako kitaani, huenda jicho lao la huruma likakuona

8. Mtegemee Mungu ila usimezwe na mambo ya makanisa na misikiti, kamwe usitegemee miujiza ya matapeli kama kina mwamposa, gwaji boy na wengine wengi, dunia haina huruma, na rehema ya Mungu kamwe haimuangukii mtu mvivu.

9.usiendekeze mapenzi na ndoa, muda haukusubiri, ukiona kichwa chako ni chapanzi na hauwezi kuhimili misukosuko ya mahusiano ni bora ujikite kwenye punyeto, utaokoa muda na pesa zako.
Hatimaye Super Atheist karudisha mpira kwa Kipa kuamini uwepo na ukuu wa Mungu.

Ubinadamu kazi/Humanity is work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Karibu uniungishe kijana mwenzio ,tunatengeneza vitu vyote vinahusiana na chuma ..
FB_IMG_1705817680956.jpg
 
Back
Top Bottom