Kijana huna mamlaka ya kumkosoa na kumjibu Mzee Warioba

Kijana huna mamlaka ya kumkosoa na kumjibu Mzee Warioba

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,266
Reaction score
14,270
Naomba nisiandike sana ila huu mchezo wa vijana ndani ya chama na serikali kuwajibu wazee walio tupatia hili taifa naomba niwakumbushe hamtodumu na wala hamtofika miaka waliofika na kama na tania muda utawajibu mtapata nafasi mtakula maisha ila mtafutika na mahala penu hapatakuwepo kama mnabisha naomba zidini kuwachamba na kuwananga wazee tukufu wa hili taifa. Nasema hamna haki nasema hamna haki wakati hamjatunga mimba wala julikana ktk dunia hawa waliona Tanzania wakaijenga na leo tuwaheshim. Hilo tu.
 
Naomba nisiandike sana ila huu mchezo wa vijana ndani ya chama na serikali kuwajibu wazee walio tupatia hili taifa naomba niwakumbushe hamtodumu na wala hamtofika miaka waliofika na kama na tania muda utawajibu mtapata nafasi mtakula maisha ila mtafutika na mahala penu hapatakuwepo kama mnabisha naomba zidini kuwachamba na kuwananga wazee tukufu wa hili taifa. Nasema hamna haki nasema hamna haki wakati hamjatunga mimba wala julikana ktk dunia hawa waliona Tanzania wakaijenga na leo tuwaheshim. Hilo tu.
mzee warioba ana ropoka mno gentleman,

halafu ana hasira za kutokuteuliwa kwenye ile tume ya jaji chande balaa amebaki kuzusha porojo nonsense tupu :HAhaa:
 
Jamaa ni kama wamechaguana wajinga kuongiza nchi mpaka leo tunamaliza miezi mitatu bado ni majibizano tu huyu anamjibu Kitima yule anamjibu warioba.
Sijui nani anawadanganya kuwajibu kwao ndio kutaleta ahuweni kwenye taifa hili linalopotelea gizani.
 
Kihongosi asijitoe akili kutetea mauajii angetuliaa kuomba busara bado ana muda mrefu kwa hizi kazi za kula kulala bure atulize mlomooo......hawezi kabisa kwa mzee warioba angetulizana ru kama anataka kufika mbali miaka 30 ijayo........awe busara sana kujibu shutuma zavhaki na halali zinaumiza watanzania 2emgi 98% unakimbia wapiga kura wako unataka maridhiano na 2% ?? Shame
 
Back
Top Bottom