Kijana huna haja ya kuharakisha kuoa eti uwahi kupata watoto usije kuitwa babu

Kupata watoto mapema au la inategemea na tafsiri ya muhusika mwenyewe; kwa dunia ya sasa kupata mtoto mapema au kuchelewa haitarajiwi uje kusaidiwa na mtoto. Wengi wanaochelewa kupata watoto sababu kubwa ni muda, huwa wana majukumu mengi ambayo wanadhani yatawanyima nafasi ya kumuhudumia mtoto ipasavyo kwa wakati husika, hivyo.
Lakini kupata mtoto mapema is the best, kama una nafasi ya kufanya hivyo ni nzuri sana kwako mzazi na ni afya zaidi kwa watoto.
 
[QUOTE="The Unknown, post: 16823385, member:

Kama huna uhakika wa maisha unategemea uwahi kuzaa watoto waje wakusaidie oa, lakini watu wote smart huwa hawafikirii kuwahi kuzaa kisa watoto waje waaasaidie. Ukifanya watoto kama non current assets wahi kuwapata.[/QUOTE]

Kuwahi kuzaa haimaanishi waje kukusaidia kwa namna yeyote ile, Kama uko financially good halafu uko kijana na una watoto wakubwa Ni raha zaidi, my opinion.
 
Kama umefika 35 yrs, bado hujaoa na huja-make life baaas kwisha habar yako, na kama ndio huo ushaur mtoa mada anashaur vijana baaas endeleen kusubir mpaka mje kuwa kama obama, putin, clinton
 
Wapo shemeji zangu hawajaoa na tunalingana umri,
wajanja wote wanatambua kuwa ili uoe lazima uwe umejpanga na sio kijidanganya hisia. pia wanatambua kuwa kufanikiwa kwa mtoto maishani kunatengemea na wewe mzazi umejipanga vipi kabla ya kuleta mtoto duniani
Uongo mtupu,

Wapo wanazaliwa na hawawakuti hata wazazi wao .. kwa kudra za mwenyezi Mungu wanapasua kwenye life.
 
Back
Top Bottom