Kijana huna haja ya kuharakisha kuoa eti uwahi kupata watoto usije kuitwa babu

kweli kuoa sio kuzaa na ndo maana kuna watu kibao wana ndoa ila hawana watoto tena ni makosa kabisa kusema unaoa ili uzae ndoa inakuwepo tu kuwepo watoto au wawepo.
ila kitamaduni ndoa na watoto vinaendana pamoja hata ukiwa na mtoto bila ndoa unaonekana hujakamilika au ukiwa na ndoa bila mtoto mnaonekana bado hamjakamilika hata kama hamna shida yoyote.
ila kwangu cha msingi kama mtu ana uwezo awe na familia as soon as possible .familia ina raha yake bna.
TUKO PAMOJA
 
Ukimuona mtu anakwambia JAMANI WATOTO WANGU NIMEWAPATA KWA TAABU alafu ni mwanaume hebu angalia umri wake then jiulize. Nategemea utabadili hii post fasta
 
mimi sizai mtoto aje anisaidie mimi nazaa kwa sababu napenda na siku nikipata hela tu nazaa maisha tu

Naona ubachela umekushinda unamtaka mwanaume wa kuzaa naye.umenizidi tu umri ningekutafuta tuyajenge mapema
 
tatizo maisha kaka mtu unaishi kwa mlo mmoja kwa siku mbili mtoto utampa nini? yaani maisha haya acha tu
Hahahaaaa, hapana mkiwa siriazi na mnajua hali ya maisha yenu mkaheshimiana na mkatafuta kweli chakula chenu na mtoto kinapatikana.
Familia nyingi zinakosa chakula au kipato si kwa sababu hawana uwezo wa kuzalisha, akili ya kuzalisha, nia au nguvu ya kuzalisha bali kwa sababu hakuna tu kuheshimiana na kushauriana ndani kwa manufaa ya watoto.
Binafs mimi naamini mtu anapofikia uamzi wa kuingia kwenye ndoa huyo kajitambua kuwa kapitwa na wakati wa kutanua kama brazameni au shugamami ila ndo kafikia kwenye wakati wa kutengeneza future ya wanae na vizazi vyake.
 
Hahahaaaa, hapana mkiwa siriazi na mnajua hali ya maisha yenu mkaheshimiana na mkatafuta kweli chakula chenu na mtoto kinapatikana.
Familia nyingi zinakosa chakula au kipato si kwa sababu hawana uwezo wa kuzalisha, akili ya kuzalisha, nia au nguvu ya kuzalisha bali kwa sababu hakuna tu kuheshimiana na kushauriana ndani kwa manufaa ya watoto.
Binafs mimi naamini mtu anapofikia uamzi wa kuingia kwenye ndoa huyo kajitambua kuwa kapitwa na wakati wa kutanua kama brazameni au shugamami ila ndo kafikia kwenye wakati wa kutengeneza future ya wanae na vizazi vyake.
mambo magumu hayo kaka
 
Kweli kabisa. Kuzaa kwa ajili ya kuja kutegemea watoto ni shida maisha yenyewe yashabadilika haya
 
Kama vipi usizae kabisa sio unachelewa kuzaa unafika miaka sabini first born anaanza kujitegemea halafu ana wadogo zake wana miaka saba kumi na inabidi aanze kuwasomesha wadogo zake badala ya kujenga familia yake.Hakikisha mtoto unayezaa unamtunza wewe mwenyewe
 
Kama vipi usizae kabisa sio unachelewa kuzaa unafika miaka sabini first born anaanza kujitegemea halafu ana wadogo zake wana miaka saba kumi na inabidi aanze kuwasomesha wadogo zake badala ya kujenga familia yake.Hakikisha mtoto unayezaa unamtunza wewe mwenyewe
CC Mengi,
tafuta mapene wewe acha hizo habari. Tafuta mpunga hata ukifa mtoto wako anafurahia maisha. Kuchelewa kuzaa ni miaka mingapi labda?
 
Back
Top Bottom