Kijana, don't settle with your agemate

Kijana, don't settle with your agemate

Utetezi namba moja.
Age sio kigezo cha usemayo case closed!

Umri haujawahi kuwa ishu hata siku moja, hako kadogo-kadogo kanaweza kukuhenyesha mpaka ukamtamani mshangazi. Kwenye ishu nzima ya Mahusiano kinachoamua mdumu au msidumu ni kwa kiwango gani mmeoana au kuendana. Vinginevyo ni sarakasi tu. Na asiwepo wa kugusa post yangu
 
Picha niliyotumia ni ya ndio picha ya sasa ambayo inazunguka mitamdaoni na rihana kajifungua mtoto wake wa mwisho miaka miwili iliyopita.

Ni kweli uzazi ni moja ya factor inafanya wanawake kubadilika na kuonekana wamama zaidi. Kwahiyo kama unaona hiyo inaweza ikaleta utata kidogo then chagua dogodogo kama nilivyoshauri
Mimi nimeoa millenial mwenzangu, ana mwili mzuri sana japokuwa ameshazaa watoto 3.

Hawa Gen Z kwenye upande wa miili ni nyanya balaa. Yani wana miili ya hovyo kuwahi kutokea dunia hii.

Kuna binti wa 1995 aliwahi kupost picha yuko na wadogo zake wa 2000, kimuonekano unaweza sema yeye ndiyo mdogo kwao.

Kwenye suala la mili bora, aise Millenials wanabaki kuwa the best✅
 
Kaka mkubwa ulikosa kabisa picha nzuri ya Rihana?? 😂😂😂

Hiyo hapo yupo kama Shilole.

Ila wanaooa wasanii wana mioyo migumu labda iwe kwa ajili ya career zao, yaani unajua fulani na fulani wameichapa na wewe ndo unaiweka ndani.
 
Kwa haya madini nitatembeza like kwa kila mtu😀.
Na mimi ngoja niongezee kaushauri kidogo kwa wanaume wote,
Jitahidi kufanye mazoezi ili mwili uendane na umri wako, Wenye miili mikubwa watakua wamenielewa maana mtaani wanaonekana ni wakubwa kuliko umri wao.
Fitness muhimu sanasana kitambi, ni cha kukiondoa kabisa.
 
Mudua mfupi uliopita kabla sijaona na kusoma uzi huu mimi na classmate tulikuwa tunajadili the same mada kuhusu agemate wetu wa kike jinsi walivyozeeka na kutuacha wenzao wa kiume tukiwa bado vijana wabichi kiasi kwamba hata tukitaka kuoa tutapata watoto wa 2000 ambao tunawazaa kabisa. Kuoa mwanamke mnayelingana umri lazima akuzeekee mapema na kukuacha bado kijana unayetamani mabinti wadogo na kumuona mkeo ni kikongwe kilichokaukiwa ute ukeni na kulegea misuli ya uke!
 
Rihanna ameachana na Chris B ila amekuja kuzaa na kijana mdogo ambae amemzidi miezi 7 na jamaa Asap anajua kupiga mashine ni anamtungisha mimba juu ya mimba
Halafu ASAP ni wahuni kitambo angalia crew yao yote wote wamezaa na mastar ASAP ROCKY,ASAP FERG,ASAP THUGGIN,ASAP RICH wote wamezaa na mastaa wakubwa..
 
Mkuu Natafuta Ajira vijana wa kiuke wasipoelewa hizi dondoo zako za kila siku basi tena.
Wengi tayari walishafanya makosa ya kiufundi. Wanaume tuna ego, kwahiyo wanaweza kuwa wabishi kidogo kukubali wamekosea. Lakini kadili siku zinavyoenda wataelewa taratibu. Uenda mabadiliko completely kabisa tusiyaone kwenye kizazi hiki
 
Vipi, unampa ushauri gani EMMANUEL MACRON na mkewe BRIGITTE MARIE-CLAUDE MACRON.?

Emmanuel MACRON, kazaliwa December 1977, na mkewe BRIGITTE kazaliwa April 1953.
(wakati Emanuel anazaliwa, Brigitte alikuwa na umri wa miaka 24)


NB: Emmanuel Macron, ni Rais wa sasa (2017-present) wa Ufaransa.
Huyu si ndo alichapwa kibao na mkewe mbele ya kamera. Hautakiwi kuzidiwa au kulingana umri na mkeo.
 
Halafu ASAP ni wahuni kitambo angalia crew yao yote wote wamezaa na mastar ASAP ROCKY,ASAP FERG,ASAP THUGGIN,ASAP RICH wote wamezaa na mastaa wakubwa..
Wanakipiga sana mashine mademu wanashoboka kuchokonolewa chini sio utani mpaka wanazaa ila si unajua wahuni ni wahuni tu
 
Bila kujali changamoto ya kuja kuchapiwa na vijana wadogo wenye nguvu za kupeleka moto mkubwa ni bora ukaoa mke uliyemzidi umri hata nusu ya umri ulio nao, kuna raha yake mapenzini. Mpaka aje azeeke mtakuwa mko sawa uzeeni na utakuwa huna tamaa ya kutamani mabinti maana we na mke wako mtakuwa wazee wote. Mke atakufikia uzeeni haraka na kuwa mko sawa.
 
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na rihana ana 37.

Umegundua nini?. Criss brown bado kijana mbichi kabisa anaeweza kuvutia hata hawa mabinti wanaochipukia wakina Tyler, wakati Rihana tayari ni mshangazi. Hawezi tena kuvutia wanaume wenye status kubwa mfano Cristiano Ronaldo.

Rihana mwenyewe aligundua hilo ndio maana baada ya kumaliza kula ujana na badboys wakina criss brown, drake n.k. Aliona menopause hii hapa acha atafute sehemu ya kutulia hata kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu.

Akaingia kazini kutafuta retirement plan, ndipo simp mmoja ambae alikua amewekwa kwa friendzone kwa miaka mingi anaitwa ASAP Rock akajitokeza kununua gazeti jioni. Ni dhahiri ukirudi miaka 19 nyuma wakati Rihana yupo kwenye ubora wake asingengekubali ku-settle na mwanaume wa level ya ASAP rock, kwa sababu kwa miaka hiyo alikua na options bora zaid levels za jay z.

Nataka nikwambie nini kijana. Moja ya kosa utakalolifanya kwenye mahusiano ni ku-settle na mwanamke ambae ni agemate wako. Nakushauri settle na mwanamke ambae umemzidi miaka 8-15.

Sababu pekee ya kukufanya ku-settle na age mate wako ni ikiwa mlianza mahusiano yenu tangu mkiwa wadogo. Lakini hawa wa kukutana nao ukubwani achana nao. At 30's a woman passes her prime, she is done with almost averything, while a man you're just getting started.

Mbali na menopause na mwanamke kuwahi kuzeeka vilevile agemate wako amekuzidi uzoefu na tricks zote kwenye nyanja ya mahusiano. Hii ni kwa sababu wanawake wanaanza kujihusisha na haya mambo mapema sana. Ni rahisi kumpata kijana wa kiume mwenye miaka 22 na hajawahi kufanya mapenzi, kuliko kumpata binti wa miaka 18 akiwa bado bikira. Mwanamke hatakiwi kukuzidi uzoefu kwa sababu wewe ndie unaenda kuwa kiongozi ndani ya nyumba

Niggaz, dating a woman of 26-30+ is not romance, it's rescuing mission. By this stage most of them have been through men you can't imagine, different bedrooms, different positions, different calibles. They have tested alphas, betas, players, hustlers, broke boys, rich boys and after years of exploration they want to rebrand themselves as serious women. Don't be deceived, its atrap. She is not looking for love anymore, she is looking for a retirememt plan.

Kumbuka pia, kuna wanaume ambao tayari washaoa hao agemates wao.. Infact hata hapa kwenye uzi wanaweza wakaja kujitetea, lakini sio kwamba hawaoni mantiki ya kinachoandikwa, isipokua wanatetea maamuzi ambayo tayari washayafanya. Maana ndio option pekee waliyobaki nayo kwa sababu hawawezi kurudisha muda nyuma. Sikatai hoja zao wala sipo hapa kuwaambia waachane na wake zao.

Nipo hapa kukusanua wewe kijana ambae bado upo upo kwanza. Najua wengi mnacheza kwenye interval age ya 25-35. Kijana, pool ya single mother, agemate na wanawake wenye miaka kuanzia 30, achana nayo,kwa sababu ukifanya risk assessment, potential loss ni kubwa zaidi ya potential benefits.

Remember, after many years of partying, living recklessly and exporation in dating pool, in the name of having fun. She will start looking for a naive and safe man who will ignore her past, carry her baggage, fix her mistakes and secure her future. Don't be that man. Date a woman in her prime. You didn't build your life to endup with a leftover.

Don't be a simp
Duhh Rihana kavimba vimba kinyama uso kama kanawia amira
 
Mke wangu alikuwa ni pisi ya kwenda yaani huyo Rihana changanya na manzi mwingine mkali unayemjua. Mtoto wa kwanza wa pili mafuta yakaanza akapata ka kitambi flani hivi sema tu yuko na salio anabalance equation yaani na vile sipendi vitambi.
Afanye mazoezi na diet ingawa sijui utaanza kumwambiaje maana kuna uwezekano mkubwa akachukulia personal.

Lakini yote kwa yote, watoto wawili sio rahisi tumbo kurudi flat kabisa. Ingawa wanawake wengi wanabweteka sana.
 
Back
Top Bottom