Tetesi: Kijana aua askari wa JW/kunduchi

Tetesi: Kijana aua askari wa JW/kunduchi

Ndo shida ya kuajiri watu kwa connection na mishahara

Uyo ni mwanajeshi au ndo wale wanaofata mishahara mizuri kisa mjomba au baba ni mwanajeshi

Angekufa raia ningeumia na ninge sapoti posti yako ila kwakua ni mwanajeshi bas nasema iv malipo ni hapa hapa dunian
 
Hiyo mitaa waende likizo

.mazishi.yakiiisha naamini wajeda watakua wanakatiza mitaa hiyo.na mafuta yao ya mawese kumpaka mgongoni mtuhumiwa
 
Back
Top Bottom