Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 5,041
- 7,675
- Thread starter
- #41
nimesikia kama aliyeua kashadakwa,watakuwa wapumbavu kama watampeleka police akiwa hai!Duh,kwa hiyo mna subiria retaliation ya wajeda au
Ova
nimesikia kama aliyeua kashadakwa,watakuwa wapumbavu kama watampeleka police akiwa hai!Duh,kwa hiyo mna subiria retaliation ya wajeda au
Ova
Hatuna jeshi hapa,jeshi gani halina nidhamu? Wao pombe na kupigania wanawake.Walivyo wajinga wanaweza kugombea mwanamke na wanafikia level ya kuuana jamaa wapuuzi sana..
Musukuma hacheki na kimaMagufuli alifanikiwa kuwamaliza Panya road daresalam wale panyariad walikuwa hatari waliwahi nijeruhi kwa kunikata panga kichwani asisee mpaka leo nina alama
Magufuli alifanikiwa kukomesha yale magaidi ya KIBITI ilikuwa hatari kuke kibiti..
Hata sijui unataka kusema nini.Sijaelewa mkuu unasema tabata mlilawitiwa🤔
Acheni kumpa promo Jiwe .
Uongozi wa Samia ndio uliwafuta panya road 2022.
Sema tu uovu hauishi katika jamii
Inategemea na aina ya upigwaji mbona hayo matukio yapo na wengi walinusurika sehemu mbaya zaidi huwa shingoni.Yaani upigwe panga la kichwa halafu leo una comment hapa au ulivaa helment nini jamaa yetu