Kijana alichanganyikiwa na urembo wa mwalimu wake wakati anafundisha, amuoa baada ya kuhitimu

Cute Wife

Member
Nov 17, 2023
83
206

1709209288865.png

Mwanaume mmoja wa nchi ya DRC, Hassan Remy amemuoa aliyekuwa mwalimu wake wa sekondari na kusema alishindwa kumsikiliza alipokuwa akifundisha darasani.

Remy amesema alimchumbia Maombi Jeannette aliyemzidi miaka 12 baada ya kumaliza shule na baadaye kumuoa, licha ya uhusiano wao kupigwa vita na watu wengi.

Remy amesema anafurahia ndoa yake na mkewe, Maombi na sasa wamebarikiwa kupata watoto wawili.

Akifanya mahojiano na chaneli ya Afrimax English, baba huyo wa watoto wawili amesema alishindwa kuzingatia masomo wakati Maombi alipokuwa akifundisha.

"Nilikuwa najiuliza kama yeye na mimi tunaweza kuwa pamoja. Nilijua ningekabiliana na upinzani mkubwa, ikiwemo umri wake mkubwa kwangu," amesema Remy.
 

Mwanaume mmoja wa nchi ya DRC, Hassan Remy amemuoa aliyekuwa mwalimu wake wa sekondari na kusema alishindwa kumsikiliza alipokuwa akifundisha darasani.

Remy amesema alimchumbia Maombi Jeannette aliyemzidi miaka 12 baada ya kumaliza shule na baadaye kumuoa, licha ya uhusiano wao kupigwa vita na watu wengi.

Remy amesema anafurahia ndoa yake na mkewe, Maombi na sasa wamebarikiwa kupata watoto wawili.

Akifanya mahojiano na chaneli ya Afrimax English, baba huyo wa watoto wawili amesema alishindwa kuzingatia masomo wakati Maombi alipokuwa akifundisha.

"Nilikuwa najiuliza kama yeye na mimi tunaweza kuwa pamoja. Nilijua ningekabiliana na upinzani mkubwa, ikiwemo umri wake mkubwa kwangu," amesema Remy.
The same story ya Emmanuel Macron, rais wa Ufaransa
 
Back
Top Bottom