kijana akutwa akibaka mbuzi

kijana akutwa akibaka mbuzi

Tumia akili kidogo tuu.
Huyo jamaa haiwezekani kuwa alibatizwa kanisani kwa jina hilo,
Ni lazima alibadili dini baada ya kugundua aliingizwa chaka na wazazi wake.

Safi sana, kwahiyo unakubaliana namimi kuwa majina hayamaanishi dini ya mtu husika? Pili, huyu hakuwahi kuwa muisilamu labda kama unataka kutuambia aliiba cheti cha muisilamu.
Anaetakiwa kutumia akili ni wewe
 
Safi sana, kwahiyo unakubaliana namimi kuwa majina hayamaanishi dini ya mtu husika? Pili, huyu hakuwahi kuwa muisilamu labda kama unataka kutuambia aliiba cheti cha muisilamu.
Anaetakiwa kutumia akili ni wewe

Kumuelewesha msilamu hadi akuelewe ni ngumu kuliko kumtongoza mwanamke.
 
attachment.php

Aisee, kumbe wana picha ya Kijana RASHIDI. Khaaaa
 
E ee mkuu...vidole vyangu, vocha nimeweka mwenyewe na hayo ni maoni yangu mimi.. mm kua na dini au laa ,km mke/ mume hayakuhusu..pilipili usoila inakuwashia nn??..ww nimekushika mkono ili ubishane na mm?? Wa wapi ww?...halaf usiniambie kwamba hujui km wakina Rashid John wapo wengi tuu ..au ndio umeamua kuvaa jezi??..naona km Umechelewa dkk ni ya tisini... mi natoka uwanjan na pnt zangu tatu filimbi imeshapulizwa...chao!

Mrs. Kharusy
Wewe hunitoshi hapa jf. Hata maandishi yako yaonesha weye ni out kabisa. Point hapa ni kwamba Rashidi wetu aliyebaka mbuzi ni yule wa dini ileee. Tena anashika sana swala 5 kwa siku.
Usimkatae leo kwa sababu ya kosa lake. Kasema; Nimeghafilika tu. Mtetee ka hivyo wala usije mkataa. Angekuwa kamtenda binti mdogo wa dini ya John usinge mkataa weye.
 
Hata Kama Saikolojia Inahusu Tabia Za Binadamu Na Wanyama Sidhani Kama Huyu Mbuzi Aliathirika Kisaikolojia Ila Utashi Wetu Wa Miili Uwe Na Kikomo Jamani Mbona Kuna Mademu Kibao Tu Mitaani
 
Mrs. Kharusy
Wewe hunitoshi hapa jf. Hata maandishi yako yaonesha weye ni out kabisa. Point hapa ni kwamba Rashidi wetu aliyebaka mbuzi ni yule wa dini ileee. Tena anashika sana swala 5 kwa siku.
Usimkatae leo kwa sababu ya kosa lake. Kasema; Nimeghafilika tu. Mtetee ka hivyo wala usije mkataa. Angekuwa kamtenda binti mdogo wa dini ya John usinge mkataa weye.

Hahaaha ati hunitoshi hapa jf.....yaheee hakuna linalotosha hapa duniani zaidi ya maradhi yaheee.....hahhhahaha ati hata uandishi m out.....I c urs, profesa majimarefuuu!! hahhaha. Ulale unono basii hio mijicho usiitoe na hasira😀
 
^^
Husninyo ni juzi tu nilikuwa naongelea masaa 48 ya mwanaume! Umejionea, msiwe mnatubania sawa bibie?
^^

niliiona ile thread, nikafikiria inawezekana ndio maana wengne wanabaka hadi wanyama! Ila hapana, ni kujiendekeza tu.
 
Last edited by a moderator:
Mwenye tatizo la kisaikolojia ni huyo mbakaji wa mbuzi....Anahitaji counselling otherwise kesho anahamia Ng'ombe.
 
Hivij v.v.u havikai kwenye animal blood kama ya mbuz wa RAshid?,tusije kuwa marehem wa F.A wa aliyekufa kwa ngoma
 
Kumuelewesha msilamu hadi akuelewe ni ngumu kuliko kumtongoza mwanamke.

Ugumu wake unatokana na kwamba Muisilamu hapelekwi kibubusa, Muisilamu anafundishwa kuhoji na sio kukubaliana na kila kitu kama mlivyo nyinyi ambavyo kila mtakachoambiwa na padre ama mchungaji ama yeyote huko kanisani hua mnapokea hivyo hivyo bila kuhoji ukweli wake. Mfano mzuri ni pale mnapoambiwa huwezi kuisoma bibilia na kuielewa kama huna roho mtakatifu sasa kweli hii hata akilini haielewi na nyinyi badala ya kuhoji mpate kuelewa ni kwanini iwe hivyo mnakubaliana tu na mtakachoambiwa. Leo padri atakuja na kijisehemu kidogo katika bibilia na kuwasomea nanyi mnabeba hivyo hivyo badala ya kufuatilia kujua maana na kuijua kwa kina.

Nimefurahi kusikia kumbe unatambua kuwa sisi waisilamu hatupelekeshwi tu kibubusa bila kuwepo na uthibitisho. Anzeni nanyi kuhoji sasa huko makanisani ili mpate kufahamu ukweli wa mambo, msikubali tu kuambiwa yesu kafia msalabani jaribuni kufuatilia kupitia bibilia hiyo hiyo ili mpate kuelewa ukweli wa hili pia.
 
Ugumu wake unatokana na kwamba Muisilamu hapelekwi kibubusa,

Nimefurahi kusikia kumbe unatambua kuwa sisi waisilamu hatupelekeshwi tu kibubusa bila kuwepo na uthibitisho. .


Unajipa majibu mwenyewe halafu eti unasema umefurahi kusikia eti mwislam hapelekeshi kibubusa..
Umemsikia nani kama sio umejisikia wewe mwenyewe!?
Eti mwislamu anajua kuhoji,si mngemuhoji kanjanja mazinge aliyewadanganya kama anamdanganya mwanamke?
Hilo la kwanza,kwa marehemu Mud maswali ndio hayaishi.....
Hoji hayo kwanza wewe mwislam!
 
Unajipa majibu mwenyewe halafu eti unasema umefurahi kusikia eti mwislam hapelekeshi kibubusa..
Umemsikia nani kama sio umejisikia wewe mwenyewe!?
Eti mwislamu anajua kuhoji,si mngemuhoji kanjanja mazinge aliyewadanganya kama anamdanganya mwanamke?
Hilo la kwanza,kwa marehemu Mud maswali ndio hayaishi.....
Hoji hayo kwanza wewe mwislam!

Nimeamini kumbe najadiliana na mtu ambae eidha hana akili timamu ama huenda ana elimu duni. Kwaheri naona hapa napoteza muda tu ninawasiwasi na wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom