nyamwingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 933
- 863
Hivi kweli utake kumuua raisi wa nchi utangaze kama hivi?unajuaje alikuwa anafanya masihara?
usifuatishe vichwa vya habari vya magazeti uozo yetu haya
masihara ni utetezi wake kizimbani, ambao mahakama imeukataa...