Kiini cha mahusiano ya CIA na Vatican

NDO MAANA KUTOKUWEPO KWA CATHOLIC CUBA NA KOREA KASIKAN ,KUMEFANYA KAZI YA CIA KUWA NGUMU !!!.

NDIO MAANA MAHALI AMBAPO HAMNA CATHOLIC POPOTE PALE LAZIMA MAREKAN AMUONE NI ADUI .

REFERS... CHINA,,,CUBA,,,IRAN,,,,N.KOREA,,RUSSIA. N.K
Mkuu nadhan ungeacha kuropoka na kufanya research kwanza.....
8d8d9a49c695da1889ad1c73af3a81e3.jpg
 
NDO MAANA KUTOKUWEPO KWA CATHOLIC CUBA NA KOREA KASIKAN ,KUMEFANYA KAZI YA CIA KUWA NGUMU !!!.

NDIO MAANA MAHALI AMBAPO HAMNA CATHOLIC POPOTE PALE LAZIMA MAREKAN AMUONE NI ADUI .

REFERS... CHINA,,,CUBA,,,IRAN,,,,N.KOREA,,RUSSIA. N.K
wanakanisa pyongyang linaitwa changchung cathedral...
 
Yapo japo kwa asilimia ndogo mno so no impacts kwani wanatolewa macho sana sana kumbuka Ayatollah Khomeini wa Iran alivyoweka mikakati mikali mno mbavu zinabana
Kila sehemu kuna dhehebu/imani tofauti haimaanishi wanapingwa kwa ajili ya uC.I.A ni suala la kiimani zaidi.
Hizi ni tafiti mbalimbali kiwango cha udini kwenye hizo nchi:-

Russia: (2012)
-Russian Orthodox (41%)
-Other Orthodox (1.5%)
-Unaffiliated Christian (4.1%)
-Other Christian/religion (1.7%)
-Spiritual but not religious (25%)
-Atheism (13%)
-Islam (6.5%)
-Slavic native faith , other Pagan and Tengrist (1.2%)
-Tibetan Buddhism (0.5%)
-Undecided (5.5%)

Iran: (2011)
-Shi'a Islam (99.4%)
- 0.6% non-Islamic
religious (Bahá'ís, Mandeans , Yarsanis, Zoroastrians, Jews and Christians)
-Other not stated (0.3%)

Cuba: (2010)
-Roman Catholicism (60%)
-Protestantism and other
-Christians (5%)
-Others/African spirituality (11%)
-Non-religious / Atheist (24%)

China: (2014)
-Chinese folk religion / unaffiliated (73.56%)
-Buddhism (15.87%)
-Other religious organisations, including folk sects and the Taoist Church (7.6%)
-Christianity (2.53%)
-Islam (0.45%)

North Korea: (1990s-2000s)
-Non religious/atheist(64.3%)
-Korean shamanism (16%)
-Chondoism (13.5%)
-Buddhism (4.5%)
-Christianity (1.7%)
 
Papa Pius XII akamvalisha Jenerali Donovan zawadi ya msalaba mkubwa wa dhahabu ulioitwa " Grand Cross of the Order of Saint Sylvester" zawadi hii hutolewa kwa watu 100 tu duniani ambao wamelitendea kanisa katoliki mambo ya kupendeza,kulinda kanisa kwa hali na mali, msalaba huu ni zawadi ya juu kutoka ofisi ya Papa mtakatifu, alipewa zawadi hiyo kwa kuwa amelilinda kanisa katoliki dhidi ya hujuma za kinazi na kikommunist yaani alizuia kanisa katoliki kutodondokea mikononi mwa Wanazi wa komuninist wabaya, wakati huo wajerumani walikua katika jitihada za kutawala Ulaya Magharibi ili kusambaza propaganda za kikomunisti, ndipo Jenerali Donovan alikutana na mwasisi wa shughuli za kijasusi kanisa katoliki Ulaya kwa kifupi Pro Deo yaani Father Felix Morlion na kujadili mjini vatican jinsi gani ya wanaweza kuliepusha kanisa na wanazi wa ukommunist hasa wajerumani,

Inawezekana kuna hoja unataka kuijenga lakini haya maelezo yana ukakasi kidogo

Wajerumani walikua katika jitihada za kutawala Ulaya magharibi ili kusambaza propaganda za kikomunisti?

Umewahi kufuatilia ukaribu uliokuwepo kati ya Kanisa Katoliki na Uongozi wa Wanazi hasahasa Adolf Hitler aliyekua mkatoliki mwaminifu sana? In fact Papa aliyemtangulia huyu wa sasa, Benedict alikua Mnazi, mwanafunzi na muumini mzuri sana wa Nazism na Adolf Hitler
 
Inawezekana kuna hoja unataka kuijenga lakini haya maelezo yana ukakasi kidogo

Wajerumani walikua katika jitihada za kutawala Ulaya magharibi ili kusambaza propaganda za kikomunisti?

Umewahi kufuatilia ukaribu uliokuwepo kati ya Kanisa Katoliki na Uongozi wa Wanazi hasahasa Adolf Hitler aliyekua mkatoliki mwaminifu sana? In fact Papa aliyemtangulia huyu wa sasa, Benedict alikua Mnazi, mwanafunzi na muumini mzuri sana wa Nazism na Adolf Hitler

inawezekana kabisa
 
Rome had helped elect John F. Kennedy, a Catholic, to the White House and, in France, the Church continued to perform an important role in politics.
Source: Gedion spies. The secret History of Mossad
 
Rome had helped elect John F. Kennedy, a Catholic, to the White House and, in France, the Church continued to perform an important role in politics.
Source: Gedion spies. The secret History of Mossad


How possible!?
 
Rome had helped elect John F. Kennedy, a Catholic, to the White House and, in France, the Church continued to perform an important role in politics.
Source: Gedion spies. The secret History of Mossad


How possible!?
 
Rome had helped elect John F. Kennedy, a Catholic, to the White House and, in France, the Church continued to perform an important role in politics.
Source: Gedion spies. The secret History of Mossad


How possible!?
 
Rome had helped elect John F. Kennedy, a Catholic, to the White House and, in France, the Church continued to perform an important role in politics.
Source: Gedion spies. The secret History of Mossad


How possible!?
 
Nafikiri umeandika kitu usichokijua vizuri
Unachoshindwa kuelewa tu kama kanisa halina maslahi na kitu chochote basi halipelekeshwi na yeyote labda tu kama kuna maslahi ya kanisa yatapotea hapo kanisa lishirikiana na yeyote
Ni kanisa pekee lisilopelekeshwa na yeyote kwa kuwa haliombi msaada kwa mtu hivi sasa

Na kingine nikuambie labda tu hujui namna uchaguzi wa kumchagua Papa ulivyo
Hata hao wanaochagua wenyewe wanakua hawajui ni nani atakuwa Papa maana maana anaweza kujichagua yeye mwenyewe pia

maisha ya kiroho ya wafuasi zaidi ya bil.2 duniani yanaendeshwa na raia wa vatican wasiozidi 500,kuanzia papa/the holy see,makadinali,wanadiplomasia,walinzi au kazi nyingine za kanisa ....
roman catholic ni zaidi ya tuijuavyo..
 
Back
Top Bottom