Ni wakati muafaka sasa kwa kanisa katoliki Tanzania na Afrika kujitenga na Vatican kama ilivyo kanisa katoliki la China

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,464
17,281
Baada ya Papa Francis kuagiza kanisa katoliki kote ulimwenguni isipokua China kubariki ndoa za mashoga, sasa ni wakati muafaka Kanisa Katoliki Afrika kujiondoa kutoka kwenye mikono ya ukoloni wa Vatican na kujitenga kama ilivyo Kanisa Katoliki China.

China kanisa katoliki la Vatican halina nguvu yoyote ya kuteua wala kutangaza majimbo ya kiutawala ya kanisa badala yake ni kanisa katoliki China likishirikiana na serikali ya China ndio wanasimika mapadri na maaskofu kwenye majimbo.

Kama Kanisa Katoliki Afrika ama majimbo/makoloni ya kanisa katoliki ya Afrika hawakubaliani na maagizo ya Papa, watumie fursa hii kujitoa na kujiendesha wenyewe independently na Vatican.

Vinginevyo tekelezeni maagizo ya baba mtakatifu papa Francis.
 
kiongozi wa upinzani apo nchi jirani Raila odinga ameshatoa tamko kuwa apo tayari kutawazwa awe askofu mkuu juu ya hili jamboo
FB_IMG_1703511827991.jpg
 
Biblia iko wazi, ndoa ni ya mume na mke tu na lengo ikiwa ni wanandoa kupata watoto kwa njia ya kujamiiana. Period.

Sasa hili la papa sijui ameitoa wapi au pengine ni shetani anazidi kudhihirisha nguvu zake hapa duniani ila uzuri hilo la papa halimo kwenye Bible na watu tunapaswa kufuata biblia na sio mtu.
 
Wataongoza kwa code na doctrine zipi? Si mpaka watengwe au wajitenge kama watatofautiana na kiongozi wao. Huo ni mfupa mgumu ila ni mlaaini kwa wenye meno. Kuna makanisa kama ya kina kakobe na wengine wa aina hiyo makanisa yao hayana connection/joint na makanisa mengine ya ulaya na amerika na kuwa na makao makuu huko. Kuna makanisa yetu hapahapa Tanzania kama vile PEFA, FPCT, TAG, EAGT, PAG, KLPT, FGBF na mengine mengi ya kitanzania yanamuabudu Mungu kwa maadili ya kitanzania na Mungu anasikiliza dua na sala zao. Makao makuu yao yapo humu nchini na serikali ina monitoring kupitia msajili wa vyama visivyo vya kiserikali/NGOs chini ya wizara ya mambo ya ndani. Kwa hiyo hakuna kanisa la kitanzania ambalo litafundisha upotofu wa maadili ya kitanzania
 
Wakijitenga watakula nn?
Kweli jambo usilolijua, ni sawa tu na usiku wa giza.

By the way, nikirudi kwenye mjadala; binafsi naunga mkono hoja. Kama KKKT wameweza! Naamini hata Kanisa la Katoliki Tanzania, nao wakiamua wanaweza.

Sioni kama kuna sababu ya kuendelea kushikamana na wazungu wanaojiona kuwa superior miaka nenda.
 
Biblia iko wazi, ndoa ni ya mume na mke tu na lengo ikiwa ni wanandoa kupata watoto kwa njia ya kujamiiana. Period.

Sasa hili la papa sijui ameitoa wapi au pengine ni shetani anazidi kudhihirisha nguvu zake hapa duniani ila uzuri hilo la papa halimo kwenye Bible na watu tunapaswa kufuata biblia na sio mtu.
Papa ni lazima atii maagizo ya mnyama wa 666 kinyume na hapo atauwawa.
Mwenzake papa msomi kuliko wote,alijifichia kwenye tatizo la kiafya akajiuzulu asimkosee Mola wake
 
Baada ya Papa Francis kuagiza kanisa katoliki kote ulimwenguni isipokua China kubariki ndoa za mashoga, sasa ni wakati muafaka Kanisa Katoliki Afrika kujiondoa kutoka kwenye mikono ya ukoloni wa Vatican na kujitenga kama ilivyo Kanisa Katoliki China.

China kanisa katoliki la Vatican halina nguvu yoyote ya kuteua wala kutangaza majimbo ya kiutawala ya kanisa badala yake ni kanisa katoliki China likishirikiana na serikali ya China ndio wanasimika mapadri na maaskofu kwenye majimbo.

Kama Kanisa Katoliki Afrika ama majimbo/makoloni ya kanisa katoliki ya Afrika hawakubaliani na maagizo ya Papa, watumie fursa hii kujitoa na kujiendesha wenyewe independently na Vatican.

Vinginevyo tekelezeni maagizo ya baba mtakatifu papa Francis.
Wavivu wa kusoma na wasioelewa ndiyo wamegeuka kuwa washauri badala ya kuuliza maswali.
 
Wewe ni mkatoliki wa parokia na jimbo gani ?
Acha kunengua, badala ya kuleta taarifa za Aljezeera, , BBC na CNN nenda ulete taarifa ya Vatican uiweke hapa uone kama haujaishia kujiona fala au haujaishia kuvichukia hivyo vyombo vyako vya habari kwa kukushika akili.
 
China imegoma kutii matakwa ya makao makuu ya ukatoliki Vatican na Vatican haikubaliani na utaratibu wa serikali ya kikomunisti ya China.

China na Vatican wana ugomvi wa muda mtefu.

Inawezakana kuendesha kanisa bila shuruti za Vatican suala ni kujipanga tu.
 
Acha kunengua, badala ya kuleta taarifa za Aljezeera, , BBC na CNN nenda ulete taarifa ya Vatican uiweke hapa uone kama haujaishia kujiona fala au haujaishia kuvichukia hivyo vyombo vyako vya habari kwa kukushika akili.
Kwani tuna ugomvi mimi nawe mbona swali nimeuliza la kawaida tu ?

Basi tu achane na hilo.

Haya mabaraza mbalimbali ya maaskofu wa katoliki katika nchi mbalimbali duniani yanayopinga kubariki mashoga ni kwamba waraka hayaja soma na ukatoliki hayaufahamu hata chembe ?
 
Back
Top Bottom