Jk12
JF-Expert Member
- Feb 24, 2019
- 702
- 1,143
Kumbe ni damu ya moto yaani bloooodKwa macho ya kawaida ni soda
Kumbe ni damu ya moto yaani bloooodKwa macho ya kawaida ni soda
Ndo unashiriki ibada ya kilingen hivyo ujue,ila nyuma ya keyboard...yaan unatoa kafara la damu kwa kugusa keyboard ya simu au computer mana bila vidole huwez shirikiUlichoniudhi mimi umechelewa sana kuipost, uwe unazipost kuanzia saa tano na nusu mpaka saa nane na nusu usiku,tena uwe unazinogesha na ile mipicha picha ya kutisha maana mi bila kutazama horror movie huwa kausingizi hakanogi
hawa wenye vitabu naona ndo ukoo wa lucifer kabixaa yan dam dam hawanaga mkorokoro mengi
Aka kautamaduni nimekaona sana kwenye muvi za kikorea
Hii kitu inanitokea sana katika maisha huwa wananilazimisha kwenda kujichinja mbuzi makaburi ya ukoo hakika nilisha kataa kwa sababu kaka yangu alikua anaakili darasani lakini baada tu ya apo akapotea kwenye ramani ya taaluma mpka leo yani mpka akaanza kunywa pombe mpka leo na bangi kwa mbaaliMshana acha tu na wanaopingana Nazi wanapata changamoto kuuubwa sana. ! Kuna uncle wangu alienda German bariidi ikamzidia kule akarudishwa, ndugu zake wakasema ni kwa vile hajachinjiwa mbuzi, mbuzi ikachinjwa.. Trust me anaendaga tena na tena hata misimu ya baridi ila hajawahi rudishwa...! Hapa naona shetani anavyowaletea tricks![]()
![]()
![]()
IlikuwajeHii kitu inanitokea sana katika maisha huwa wananilazimisha kwenda kujichinja mbuzi makaburi ya ukoo hakika nilisha kataa kwa sababu kaka yangu alikua anaakili darasani lakini baada tu ya apo akapotea kwenye ramani ya taaluma mpka leo yani mpka akaanza kunywa pombe mpka leo na bangi kwa mbaali
Alikuwa anaweza tu vizuri darasani sasa mzee wetu akasema ili amlinde waende kutambika kwenye mizimu kumbe ndiyo wakampoteza kabisa
Mzee hakupaswa hata maramoja kufanya hicho kitendo...tiba ni kwa waumwao sio wazima...tatizo la makafara kama hayo ukikosea kidogo tu umekwishaAlikuwa anaweza tu vizuri darasani sasa mzee wetu akasema ili amlinde waende kutambika kwenye mizimu kumbe ndiyo wakampoteza kabisa
Sasa mpka leo mzee alishanilia target kila nikipata ata shida ya afya ndogo ana refer mizimu tuMzee hakupaswa hata maramoja kufanya hicho kitendo...tiba ni kwa waumwao sio wazima...tatizo la makafara kama hayo ukikosea kidogo tu umekwisha
Sent using Jamii Forums mobile app