Kiingilio cha madhabahu za giza

Kiingilio cha madhabahu za giza

Yesu ni jibu pekee la matatizo yako
Naam! Ndio kakupa hiyo miti BURE uitumie kwa matatizo yako e.g. ya dawa, chakula, ujenzi, kivuli, uzio(Ulinzi), starehe n.k.. Sasa ww bado unapiga magoti unamshurutisha unataka aje yeye tena kufanya kazi ya kuichuma akupe. Mbona alishakupa??? Hapo kuna tatizo gani? ....Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Aksante ndugu hapa ume maliza kitu, Ni damu ya yesu tu na neno ndo ngao yetu, sadaka na dhabiu
O.K. Poa sana. Kwa hiyo Ndg. usiende Hospitali, Usitumie chandarua, Usijali kula na kuvaa vizuri. Ww endelea tu kunywa damu ya yesu, neno, sadaka na dhabihu. Inatosha. Wenzio wanapotezwaga/wanatupwaga lakini ww unajipoteza au kujitupa mweyewe 🤣🤣😲
 
ukijiungamanisha na hizi madhabahu umekwisha mipango yote ina fail mwanzoni utaona raha lakini akili zikirudi utajuta na muda umeshapiteza na unakua umesha change focus unaanza upyaaa hapo ndipo wengine wanaugua uchizi
 
Naam! Ndio kakupa hiyo miti BURE uitumie kwa matatizo yako e.g. ya dawa, chakula, ujenzi, kivuli, uzio(Ulinzi), starehe n.k.. Sasa ww bado unapiga magoti unamshurutisha unataka aje yeye tena kufanya kazi ya kuichuma akupe. Mbona alishakupa??? Hapo kuna tatizo gani? ....Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Duh..
 
ukijiungamanisha na hizi madhabahu umekwisha mipango yote ina fail mwanzoni utaona raha lakini akili zikirudi utajuta na muda umeshapiteza na unakua umesha change focus unaanza upyaaa hapo ndipo wengine wanaugua uchizi
Sahihi kabisa
 
Mwanadamu ameumbwa na roho, nafsi, na mwili pamoja na viungo vyake vyote vinavyoonekana na visivyoonekana—na vyote vinakula. Mwili unakula mkate lakini nafsi na roho hula maneno, hula damu
Screenshot_20220701-144629.jpg
 
Somo la Nafsi ni gumu mno... nafikiri ndipo siri ya uumbaji ilipojificha.
 
Nipo katika vita kali na mtu analazimisha niende huko kusolve!!! Nashukuru bro.Umeniongezea Nguvu nilishaanza kulegeza kamba....
 
Nipo katika vita kali na mtu analazimisha niende huko kusolve!!! Nashukuru bro.Umeniongezea Nguvu nilishaanza kulegeza kamba....
Pambana, fanya maombi, toa zaka na sadaka.. Jiapize kutoshindwa.. Mtazamo huleta uhalisia.. Utashinda zaidi ya kushinda...NAKUOMBEA
 
Pambana, fanya maombi, toa zaka na sadaka.. Jiapize kutoshindwa.. Mtazamo huleta uhalisia.. Utashinda zaidi ya kushinda...NAKUOMBEA
Nashukuru mkuu! Wanawatumia sana wake zetu kututeka,Ila hapa Kitaumana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom