mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
Sio bure kuna personal issues hapa
Wewe mpumb@v nyie ndy Mliokuwa mnanufaika na matibabu feki ya dr magumashi mwakaNipe takwimu ni kina mama wangapi waliofanikiwa na ni wangapi walipata damage? Mbona babu wa samunge maarufu kikombe cha babu alisababisha vifo vingi tu lakini kimya? Tuache siasa nyepesi tufanye kazi.
Sio bure kuna personal issues hapa
Mkuu wakati mwingine sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana! Wakina mama wengi watakuwa wame athilika kiafya kutokana na utapeli wa jamaa huyu,sijui nani alikuwa anaidhinisha apewe AIRTIME ya kuwazuga wakina mama.Kwa hiyo kwakuwa babu alisababisha na huyu mwaka nae aachwe asababishe?uswahili unawasumbua sana, yani mtu asipinge kitu chenye mantiki mniita wivy
Wewe mpumb@v nyie ndy Mliokuwa mnanufaika na matibabu feki ya dr magumashi mwaka
Dr. Mwaka ni miongoni mwa maelfu ya watu wa aina yake, kudeal na yeye tu huku akiwaacha maelfu inaleta dhana mbaya sana.
Kwa bahati mbaya sana sijawahi kumtukana mtu, nimelelewa katika misingi ya maadili, utu, uvumilivu na unyenyekevu! Jenga hoja yako utaheshimika ndugu!
Madai kuhusu Dr mwaka bado hayajulikani !
Mimi nilishauli serikali isiwe inawakatisha tamaa watu, kinachotakiwa ni kuwapa maelekezo watu nini wafanye na kipi wasifanye ktk utoaji Huduma zao.
Ila viongozi wasifanye maamuzi bila busara watu wanatafsri kama kukomoana inakatisha tamaa watu.
Not: hii huduma ingetolewa na mchina au mzungu isinge kosolewa
Maana najaribu kukumbuka yule Doctor mzawa wa moyo aliletewa zengwe mpaka akafa kwa msongo wa mawazo!
Tunahitaji kufikiri zaidi kuliko kushabikia bila kufikiri
Hivi hakuna mengine ya kujadili humu? Dr Mwaka ni ktk nchi hii ajadiliwe? Alikkwepa kodi? Ni chuki tu!
Hata sindano haikumbuki tena labdaunataka wagonja wafe
Ndizo kazi za mawaziri wa CCM fitina na umbeaKigwangala amesema atatoa taarifa wakati wowote kuhusu Dr Mwaka baada ya kuita jopo la matabibu kumjadili Mwaka kuanzia Leo.
Source: tuongee magazeti RFA
hoja hapa si eti mwingine alifanya na hakuchukuliwa hatua, Hapa ni Kazi tu maana yake kila mtanzania apate kipato kutokana na KAZI yake halali - ujanja ujanja sasa unafikia tamati.Nipe takwimu ni kina mama wangapi waliofanikiwa na ni wangapi walipata damage? Mbona babu wa samunge maarufu kikombe cha babu alisababisha vifo vingi tu lakini kimya? Tuache siasa nyepesi tufanye kazi.
Nakubaliana nawe, hapa lazima kutakuwa na lingine nyuma ya pazia! Labda mpaka ithibitike kuwa Mwaka hana TIN number na halipi kodi.Hawezi kung'ang'na hivi pengine kuna jambo kati yao, ana meno sasa hiv hana budi kulipa kisasi mapema na baadae aanze kujenga nchi
Hata hujui kumbe Kigwangallah alianza vipi kudeal na Mwaka...ni kupitia malalamiko ya watu kwa njia mbalimbali...sasa ikiwa kuna wengine unawajua basi usitegemee miujiza ifanyike ili na sisi tuwajue...fanya uwaweke hapa ili uwe sehemu ya raia wema kwa kutoa taarifa zitakazo fanikisha kukamatwa kwa wahalifu hao.