anthony kasile
Member
- Nov 20, 2015
- 90
- 16
Kigwangala amesema atatoa taarifa wakati wowote kuhusu Dr Mwaka baada ya kuita jopo la matabibu kumjadili Mwaka kuanzia Leo.
Source: tuongee magazeti RFA
Source: tuongee magazeti RFA
Wewe unajua ni damage kiasi gani watu aina ya Mwaka wamefanya kwa kina mama wa Tanzania?Hii nchi bana, ni vituko vituko vituko! Dr. Kigwangala nakushauri kama unapenda ujulikane zaidi kwenye unaibu Waziri wako, nenda katibu wagonjwa walau Mara moja kwa wiki katika hospitali yetu ya Muhimbili, hili titamfanya Rais wetu Dr Magufuli akuamini zaidi. Mwaka mwaka mwaka why? Huu ni mwaka 2015 tufanye kazi tupunguze porojo za media
Wewe unajua ni damage kiasi gani watu aina ya Mwaka wamefanya kwa kina mama wa Tanzania?
Nipe takwimu ni kina mama wangapi waliofanikiwa na ni wangapi walipata damage? Mbona babu wa samunge maarufu kikombe cha babu alisababisha vifo vingi tu lakini kimya? Tuache siasa nyepesi tufanye kazi.
Wewe unajua ni damage kiasi gani watu aina ya Mwaka wamefanya kwa kina mama wa Tanzania?
Hii nchi bana, ni vituko vituko vituko! Dr. Kigwangala nakushauri kama unapenda ujulikane zaidi kwenye unaibu Waziri wako, nenda katibu wagonjwa walau Mara moja kwa wiki katika hospitali yetu ya Muhimbili, hili litamfanya Rais wetu Dr Magufuli akuamini zaidi. Mwaka mwaka mwaka why? Huu ni mwaka 2015 tufanye kazi tupunguze porojo za media
Nipe takwimu ni kina mama wangapi waliofanikiwa na ni wangapi walipata damage? Mbona babu wa samunge maarufu kikombe cha babu alisababisha vifo vingi tu lakini kimya? Tuache siasa nyepesi tufanye kazi.
Nipe takwimu ni kina mama wangapi waliofanikiwa na ni wangapi walipata damage? Mbona babu wa samunge maarufu kikombe cha babu alisababisha vifo vingi tu lakini kimya? Tuache siasa nyepesi tufanye kazi.
Hivi hakuna mengine ya kujadili humu? Dr Mwaka ni ktk nchi hii ajadiliwe? Alikkwepa kodi? Ni chuki tu!
genius!!!dr mwaka ni genius wamuache tu kajitangaza mpaka tbc leo ndio wanaleta porojo huyu kigwangalah bure kabisa
Kigwangala ana hasira na dr mwaka baada ya Mke wake kuchunguliwa nyeti pindi alipoenda kutibiwa kwenye hiyo clinicUme nikumbusha Waziri Prof Sarungi akiwa waziri aliingia theatre kupasua na kutibu kila ajali zinapotokea....hakua anafanya hizi sarakasi za kijinga jinga .....akionesha kwa vitendo kuwa yeye ni waziri lakini pia ni daktari.
Sasa huyu Kagwangala naye sarakasi hazisaidii. Hata kuvamia hospitali na kutoa maagizo hayasaaidii maagizo yanaendana na maslahi mazuri ya madactari , uwepo wa vifaaa na madawa . Kuzunguka tuu huku hata gloves hakuna hakusaidiii.
Kwani Mwaka alisomea wapi masuala ya u gyno? Kama alikuwa anawadhalilisha akina mama kiasi hicho basi Serikali ina wajibu wa kumtupa kwenye Gereza la Segerea - hafai kabisa kiumbe huyu.Kuna mawili hapa , la kwanza ni Fitna za kibiashara toka Kwa Wamiliki wengine wa clinic za Dawa Asili , pili kinachomtafuna sasa ni ile Tabia aliyokuwa ameanza ya kuwavua nguo Wanawake kisha kusingizia kuwa anawapima Ugumba , UTI na magonjwa ya zinaa , kibaya zaidi alimchungulia Mke wa kigwangala pindi alipoenda kutibiwa pale.