Kigwangala ana hasira na dr mwaka baada ya Mke wake kuchunguliwa nyeti pindi alipoenda kutibiwa kwenye hiyo clinic
Wewe unajua ni damage kiasi gani watu aina ya Mwaka wamefanya kwa kina mama wa Tanzania?
Kigwangala amesema atatoa taarifa wakati wowote kuhusu Dr Mwaka baada ya kuita jopo la matabibu kumjadili Mwaka kuanzia Leo.
Source: tuongee magazeti RFA
Masilahi yamegongana, dr. Mwajma na kighangala wote ni madk.wa miti shamba,anaona mwenzie amepata umaalufu mkubwa kwa ajili ya kutangaza tiba yake,ndo maana hata kigwangala amekulupuka na kufunga mageti pale wizarani ili vyombo vya habali vimtangaze,lakini vimempotezea,utasikia atazusha jingine la kuvua hata suti atibu wagonjwa balabalani,tutaona mengi.dr mwaka ni genius wamuache tu kajitangaza mpaka TBC leo ndio wanaleta porojo huyu kigwangalah bure kabisa
Nipe takwimu ni kina mama wangapi waliofanikiwa na ni wangapi walipata damage? Mbona babu wa samunge maarufu kikombe cha babu alisababisha vifo vingi tu lakini kimya? Tuache siasa nyepesi tufanye kazi.
Hawezi kung'ang'na hivi pengine kuna jambo kati yao, ana meno sasa hiv hana budi kulipa kisasi mapema na baadae aanze kujenga nchi
Wewe unajua ni damage kiasi gani watu aina ya Mwaka wamefanya kwa kina mama wa Tanzania?