Kigwangalla azidi kumkalia kooni Dr. Mwaka

Kigwangalla azidi kumkalia kooni Dr. Mwaka

Sidhani kama itazidi ile ya Muhimbili ambapo mtu aliyepaswa kufanyiwa upasuaji wa kichwa akapasuliwa mguu na wa mguu akafumuliwa kuchwa,no one is perfect. Kigwangala ni mpenda sifa kama Makonda,sioni leadership kabisa kule....he is just a waste of space.

Sawa kabisa
 
Unamaanisha akimfungia huyo mwaka ndio kaboresha afya.

Usikute hata wewe ukawa popoma,
Wagonjwa wengi wanaokwenda kwa hawa jamaa in baada ya kuzunguka hospitari za uma na kukosa msaada

Ndio maana anashauriwa kuimarisha Huduma za afya kwenye hospitari zake kuliko kukimbizana na hawa wanaolisha watu vitunguu swaumu.

Sawa kabisa
 
Siyo chuki, kwani ni tapeli kulipa kodi siyo maana unachofanya ni halali. Huyu DK. Mwaka ni "Pervet" kwani sio mtahalamu wa magongwa ya uzazi. Angekuwa CHINA angenyongwa huyo.

Ipe Maneno hiyo PICHA
 

Attachments

  • 1450712206789.jpg
    1450712206789.jpg
    52.5 KB · Views: 303
Waziri achukue hatua kali kwa hawa watu matapeli wanaodanganya matabibu tena kwa kujiita madaktari wakati taaluma hawana wanaochukia serikali hii ni wale waliozoea maisha ya ujanja ujanja

Ha ha ha ha, mcheki Dokita huyo katika pozi lake la KIDAKITAREEEE
 
Kwani Mwaka alisomea wapi masuala ya u gyno? Kama alikuwa anawadhalilisha akina mama kiasi hicho basi Serikali ina wajibu wa kumtupa kwenye Gereza la Segerea - hafai kabisa kiumbe huyu.

Na serikali iliyomwacha kufanya yote hayo tuifanye nini.
 
Kuwe na personal issues au lah...the bottom line ni kwamba Mwaka ni tapeli and somebody sensible has to STOP him and fortunate that person appeared to be Kigwangala.

Waathirika wakubwa wa utapeli wake ni mama zetu, dada zetu na bibi zetu na shangazi zetu and on top of all, wake zetu.

Kama utapeli huu wa Mwaka haujakukuta huwezi kuelewa lolote.

Umetibiwa hapooo? Hadi ujue hayo tuache unafki
 
Madai kuhusu Dr mwaka bado hayajulikani !
Mimi nilishauli serikali isiwe inawakatisha tamaa watu, kinachotakiwa ni kuwapa maelekezo watu nini wafanye na kipi wasifanye ktk utoaji Huduma zao.
Ila viongozi wasifanye maamuzi bila busara watu wanatafsri kama kukomoana inakatisha tamaa watu.
Not: hii huduma ingetolewa na mchina au mzungu isinge kosolewa
Maana najaribu kukumbuka yule Doctor mzawa wa moyo aliletewa zengwe mpaka akafa kwa msongo wa mawazo!
Tunahitaji kufikiri zaidi kuliko kushabikia bila kufikiri

Big point
 
nchi ya ajabu. Kila anayefurukuta balaa. Mnakumbuka dr bingwa wa magonjwa ya moyo dr masau alitiliwa kauzibe na waziri mmoja mwanamke mpaka akajifia kwa frustrations. Sasa je, kama dr mwaka hafai na hawa akina dr ndodi je? Dr.jumanne je? Na huyu wa mwanza kule nyegezi je? Hawa wajiitao sanitarium je? Kigwangala acha uonevu!
hao wote ni cha mtoto, tunadeal na mwaka hao wote watafyata mkia tuu, mwaka ndio alikuwa anatupa shida na baadhi ya watu corrupt waserikali iliyopita ya mzee wa msoga, mwaka ni mwizi, tapelina muuaji!
 
dr mwaka ni genius wamuache tu kajitangaza mpaka TBC leo ndio wanaleta porojo huyu kigwangalah bure kabisa

Itajulikana kama ni genius au vipi, mtafute saa hizi anavyohangaika kutafuta mlango wa msamaha, na pakutokea na huo ugenius wake, sasa hivi anatafuta watu wote walio ndani ya system kuhonga, asamehewe, yeye si genius na confidence anayo,mbona alitoka baruu, pumbavu tapeli huyu!
 
Kwa bahati mbaya sana sijawahi kumtukana mtu, nimelelewa katika misingi ya maadili, utu, uvumilivu na unyenyekevu! Jenga hoja yako utaheshimika ndugu!

sidhani kama upumbavu na ulofa ni tusii, jielimishe mkuu, inawezekana hili povu linalokutoka kumtetea mwaka ndio linalokuuma, tafakarina chukua hatua, mwaka ni muaji na tapeli, period!
 
Kingwangwala kwa hili atashusha heshima yake aliyojijenge kwa wananchi. Mwaka anafanya shughuli zake kihalali kabisa, kodi analipa ametoa anira kwa watanzania wengu kutokana na clinic yake, si mchoyo kidogo anachopata anawagawia vyombo vya habari kupitia matangazo.

Kisa amejiita dokta waganga wa kienyeji wengi wanajita madokta mbona ashughhuliki nao ndio maana watu wanasema waafrika hatupendani kazi kubwa ni kurudishana nyuma.

Hakuna mgonjwa anayelazimishwa kwenda J.J Mwaka. Umaahiri wake wa kutibu magonjwa wanayoshindwa madaktari wetu bingwa mahospitalini ndiko kunakompa credit lkn pia umahiri wa kuelezea tatizo na ufumbuzi wake unawaacha mbali madaktari weetu.

Ningemwona wa maana mheshimiwaa waziri kama angehangaika na madaktari feki wanaotibu kwenye hosoitali za serikali pia wale walifuji vyeti ili tuwe na watumishi wenye sifa zao badala ya kutumia vyeti vya wengine huku ukionekana una elimj ya juu kumbe hata dokta mwaka amekuzidi.
 
kingwangwala kwa hili atashusha heshima yake aliyojijenge kwa wananchi. Mwaka anafanya shughuli zake kihalali kabisa, kodi analipa ametoa anira kwa watanzania wengu kutokana na clinic yake, si mchoyo kidogo anachopata anawagawia vyombo vya habari kupitia matangazo.

Kisa amejiita dokta waganga wa kienyeji wengi wanajita madokta mbona ashughhuliki nao ndio maana watu wanasema waafrika hatupendani kazi kubwa ni kurudishana nyuma.

Hakuna mgonjwa anayelazimishwa kwenda j.j mwaka. Umaahiri wake wa kutibu magonjwa wanayoshindwa madaktari wetu bingwa mahospitalini ndiko kunakompa credit lkn pia umahiri wa kuelezea tatizo na ufumbuzi wake unawaacha mbali madaktari weetu.

Ningemwona wa maana mheshimiwaa waziri kama angehangaika na madaktari feki wanaotibu kwenye hosoitali za serikali pia wale walifuji vyeti ili tuwe na watumishi wenye sifa zao badala ya kutumia vyeti vya wengine huku ukionekana una elimj ya juu kumbe hata dokta mwaka amekuzidi.
wewe kama umeajiriwa na tapeli mwaka, na kama ni muandishi wa habari kanjanja, mwenye njaa ambao muuaji mwaka anawapenda kuwahongahonga kwa sababu ya ulofa wenu wa kuamini anacho download kwenye google na wikipedia,na kutotaka kujielimisha kwa kusoma sheria, kanuni na miongozo ya tiba asili na tiba mbadala,ambayo iko wizara ya afya na tapeli mwaka haishi sayari ya neptune, anaishi hapa duniani na hayuko tayari kufuata, basi atumie cheti chake cha kusoma computer,afanye kazi internet cafe, pumbavu hamna mtumuonea mwaka, ni jeuri/kiburi yake ya pesa,na upumbavu wa baadhi ya nyie waaandishi njaa wa channel ten,clouds na redio zenu,mnashabikia vitu msivyo vijua.
 
mimi naona dr kigwangallah anakuwadriven na mihemko ya hisia binafsi kuliko manufaa yanayoweza kupatikana na motives zake, mara kufunga milango ya kuingia ofisini hii inasaidia nini zaidi ya unafiki. nafikiri angeenda mbele zaidi kwa kuangalia effective time management sio kwa kuwahi tu lakini hata kazi zinazofanywa ziwe na tija ili kuleta dhana ya uwajibikaji otherwise watu kuwahi kazini na kukaa unproductively ofisni hata saa tisa na nusu mchana doesnt make sense at all.
 
mimi naona dr kigwangallah anakuwadriven na mihemko ya hisia binafsi kuliko manufaa yanayoweza kupatikana na motives zake, mara kufunga milango ya kuingia ofisini hii inasaidia nini zaidi ya unafiki. nafikiri angeenda mbele zaidi kwa kuangalia effective time management sio kwa kuwahi tu lakini hata kazi zinazofanywa ziwe na tija ili kuleta dhana ya uwajibikaji otherwise watu kuwahi kazini na kukaa unproductively ofisni hata saa tisa na nusu mchana doesnt make sense at all.
 
Back
Top Bottom