Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,218
Nipe takwimu ni kina mama wangapi waliofanikiwa na ni wangapi walipata damage? Mbona babu wa samunge maarufu kikombe cha babu alisababisha vifo vingi tu lakini kimya? Tuache siasa nyepesi tufanye kazi.
Clearly, utakuwa unaloga wewe. Kwa kuwa "Babu wa Samunge alisababisha vifo vingi", basi Mwaka aachwe aendelee kudanganya watu? Watu aina ya kina Mwaka na Babu wa Samunge wanashamiri kwa kuwa jamii yetu inaamini sana mazingaombwe (superstition/super natural stuff) na shortcuts. Ushauri wangu: Mwaka na wenzake wengi wa aina yake wachukuliwe hatua kali sana, ikiwa ni pamoja kufungwa jela na kufilisiwa mali zao walizopata kwa njia ya udanganyifu.