Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,659
Unaongea kwa uchungu kweli leo mtajua kuwa CHADEMA ni ya watu na ni mpango wa Munguhapo red ni jinsi gani watu wanavyomtukuza mtu mungu mtu slaa,enzi za zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama zinarudi chadema,watu wanachekelea,udikteta umerudi,fikra huru zimekufa