Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,599
- 1,798
Nipo mkutanoni Mwanga Centre Kigoma nitatoa Updates, endapo Taswira akipotosha nitaweka mambo sawa
Ha ha ha! Mnanikumbushaa enzi za Mrema kusukumwa na gari jangwani!
Nipo mkutanoni Mwanga Centre Kigoma nitatoa Updates, endapo Taswira akipotosha nitaweka mambo sawa
So unafikiri wa kusoma ni wewe tu, mbona watu wanaelewa vizuri tu. Ona aibu dogo.Mh! Jamani tuwe wakweli Dk. anazungumza mambo magumu sana watu hawamwelewi, anaongelea habari za Centralization watu hata hawajui nn anakiongea, kiukweli inatakiwa abadili hotuba hasomeki
Mh! Jamani tuwe wakweli Dk. anazungumza mambo magumu sana watu hawamwelewi, anaongelea habari za Centralization watu hata hawajui nn anakiongea, kiukweli inatakiwa abadili hotuba hasomeki
mbona picha yako imeipiga kiaina. watu wengi wako mbele lakini wewe umepiga nyuma kabisa huku watu wakionekana ni wengi sana mbele.
Mh! Jamani tuwe wakweli Dk. anazungumza mambo magumu sana watu hawamwelewi, anaongelea habari za Centralization watu hata hawajui nn anakiongea, kiukweli inatakiwa abadili hotuba hasomeki
mbona picha yako imeipiga kiaina. watu wengi wako mbele lakini wewe umepiga nyuma kabisa huku watu wakionekana ni wengi sana mbele.
kwisha habari yao. watakachofanya ni kuanzisha uzi mwingine
Anaita mtu jukwaani akasome, ili kujibu hoja za Zitto kuhusu hoja za ukaguzi.
Sikatai kabisa watu wapo lkn kimagumashi sana, hakuna shangwe wala bashasha watu wako kimya sana, Dk anaogopa kuongelea mambo mhimu
Hivyo ndivyo hali halisi ya picha ilivyo! Slaa yule wa kujaza uwanja wa mpira wote hayupo tena! Unadai kapiga upande haisaidii leta watu wajae kote! Slaa kwishaa!
kwisha habari yao. watakachofanya ni kuanzisha uzi mwingine