Slaa anazidi kuaibika, huo ndio ukweli. Mleta mada anapotosha umma
heri kifo cha cuf na nccr kuliko cha hili genge la waporaji
mnadanganyana hapa jukwaani lakini kwenye uhalisia chadema imejifia, imechokwa. slaa analindwa na polisi kuliko hata kikwete anavyolindwa, hatakiwi tena na wananchi. akionekana wanakula kichwa.lete huo ukweli unaoutaka wewe,leo wamekulipa buku saba bure tu
heri kifo cha cuf na nccr kuliko cha hili genge la waporaji
Nipo mkutanoni Mwanga Centre Kigoma nitatoa Updates, endapo Taswira akipotosha nitaweka mambo sawa
taarifa hii ni ya uongo, wana jf ipuuzeni. mleta mada aweke picha kama kweli watu ni wengi,
ukweli ni kwamba watu hamna, hawafiki 200, slaa ameogopa kuja kwenye mkutano
Kuna mtu anaitwa Taswira amekuja na story kenge kabisaa..weka picha tumchape!
taarifa hii ni ya uongo, wana jf ipuuzeni. mleta mada aweke picha kama kweli watu ni wengi,
ukweli ni kwamba watu hamna, hawafiki 200, slaa ameogopa kuja kwenye mkutano
taarifa hii ni ya uongo, wana jf ipuuzeni. mleta mada aweke picha kama kweli watu ni wengi,
ukweli ni kwamba watu hamna, hawafiki 200, slaa ameogopa kuja kwenye mkutano
Ana matatizo yule...
Kili kitu kimeishaandaliwa...teh teh teh.. mpaka picha.
kwa hiyo unataka kusema dr. Slaa hatakuja? Kwa nini wewe usiweke picha?taarifa hii ni ya uongo, wana jf ipuuzeni. mleta mada aweke picha kama kweli watu ni wengi,
ukweli ni kwamba watu hamna, hawafiki 200, slaa ameogopa kuja kwenye mkutano
taarifa hii ni ya uongo, wana jf ipuuzeni. mleta mada aweke picha kama kweli watu ni wengi,
ukweli ni kwamba watu hamna, hawafiki 200, slaa ameogopa kuja kwenye mkutano
Hana uwezo wa picha za ukweli hata hii alisema ni kijijini Nyarubanda Kgm Kaskazini kumbe ni Kasulu Mjini nimekubali propaganda ndiyo nguzo kuu katika siasa. Sioni tofauti ya CHADEMA na CCM wala cha NCCR na CUF bora ya soka la kibongo mnagongwa wote ninaona.
View attachment 126055
c u when u c me!
Tunashukuru kwa taarifa yako ya ukweli mkuu tamuchungu.... Tunaomba utuwekee picha ya hao watu wasiofika hata 200 plz fanya hima mkuu