Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 13,097
- 12,107
Jamani waungwana napata shida sana kuweza kutambua mkoa upi kati ya MTWARA NA KIGOMA uko nyuma zaidi kimaendeleo. Msaada wenu ili nijikite sehemu iliyonyuma kufanya research yangu..
Hivi nani kasema Mtwara ipo nyuma kimaendeleo?